IQNA

Nyumba ya Ukoo wa Ejei huko Isfahan

Jumba la kihistoria la "Ejei", lilijengwa kwa mtindo wa usanifu majengo wa zama za wafalme wa Safavi na mapambo yake yanahusiana na kipindi cha watawala wa Qajar.

Aidha saini ya mchoraji wa nyumba hii inaonekana na maneno "Raqmeh Zainul Abdin 1268".

Eneo la nyumba hii lilikuwa zaidi ya mita za mraba 2000 hapo awali, lakini leo ni mita za mraba 530 tu. Familia ya Ejei ni moja ya familia mashuhuri za mjini Isfahan waliokuja Isfahan kutoka eneo la Eje mkoani Isfahan. Familia ya Ejei ni  mashuhuri kama wanazuoni wa kidini, na baadhi yao walikuwa maimamu wa msikiti wa "Ali" katika kitongoji cha "Harunieh.

خانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌هاخانه تاریخی اژه‌ای‌ها