Mashindano hayo hufanyika kila mwaka kwa kuwashirikisha wasomaji na waliohifadhi Qur'ani kutoka maeneo yote ya dunia.
Takfallah amesema nchi baina ya 30-40 zimetangaza kuwa tayari kutuma washiriki katika mashindano hayo ya wale wenye ulemavu wa macho.
Amesema duru hii ya kwanza ya mashindano hayo itajumuisha kuhifadhi Qur'ani tu na kwamba kategoria zingine zitanogezwa katika miaka ijayo.