IQNA

Wakimbizi Wapalestina wajiandaa Kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani huku Israel ikiendeleza jinai

IQNA- Wapalestina wanaoishi katika kambi za wakimbizi Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza, wanajiandaa kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani huku wanajeshi wa Israel wakiendelea vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya eneo hilo.
 
Habari zinazohusiana