iqna

IQNA

austria
TEHRAN (IQNA) – Msomi Muislamu wa Austria, Farid Hafez ameitaja serikali ya Ufaransa kama nchi ya Ulaya ambayo ina mtazamo mkali zaidi kwa Waislamu Waislamu.
Habari ID: 3477035    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/23

Chuki dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Shirika moja lisilo la kiserikali imeripoti kuwa, wanawake Waislamu wanaovaa vazi la staha la Hijabu nchini Austria wanakabiliwa ubaguzi na mashambulio ya wenye chuki dhidi ya Uislamu ikilinganishwa katika nchi hiyo ya Ulaya.
Habari ID: 3476783    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/30

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Mashirika ya kiraia ya Kiislamu yameshutumu nchi za Ulaya kwa kukandamiza jamii za Kiislamu, na hivyo kuzusha hali ya wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa wimbi la chuki dhidi ya Uislamu inayofadhiliwa na serikali barani Ulaya.
Habari ID: 3475859    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/30

Chuki dhidi ya Uislamu
Austria ni maarufu kwa usanifu majengo mzuri na sanaa, hata hivyo, cha kusikitisha ni kwamba, nchi hii sasa imejijengea sifa nyingine katika miaka ya hivi karibuni: ile ya kuongezeka kwa chuki dhidi ya Waislamu waliowachache.
Habari ID: 3475619    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/14

TEHRAN (IQNA)- Msikiti mmoja katika mji mkuu wa Austira, Vienna umehujumiwa na watu wasiojulikana ikiwa ni ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya.
Habari ID: 3474893    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/05

TEHRAN (IQNA)- Ripoti mpya inaonyesha kuwa kumekuwepo na ongezeko kubwa la chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia barani Ulaya.
Habari ID: 3474746    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/31

Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Muda wa Sala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesisitiza kuwa, taifa la Iran halitokubaliana na chochote katika mazungumzo yanayoendelea mjini Vienna Austria ghairi ya kuondolewa vikwazo vyote vya kidhalimu lilivyowekewa taifa hili la Kiislamu na madola ya kibeberu.
Habari ID: 3474632    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/03

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa kanisa Katoliki nchini Austria amelaani vikali hatua ya serikali ya nchi hiyo kuzindua kile ambacho kimetajwa kuwa ni ‘Ramani ya Uislamu” kwa lengo la kuwabana Waislamu.
Habari ID: 3473984    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/06

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Austria wamesema wana mpango wa kufungua kesi dhidi ya serikali ya Kansela Sebastian Kurz kwa kuanika "ramani ya Uislamu" iliyozusha utata mkubwa.
Habari ID: 3473963    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/30

TEHRAN (IQNA)- Polisi nchini Austrai wamekosolewa vikali kwa kuwasumbua na kuwakera Waislamu ambao wamekuwa wakihujumu maeneo yao na kuwauliza maswali ya dharau.
Habari ID: 3473368    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/17

TEHRAN (IQNA) - Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani shambulizi la kigaidi lililotokea nchini Austria na kusema kuwa, kuna udharura wa kuwepo ushirikiano wa jamii ya kimataifa kwa ajili ya kukabiliana na mizizi ya ugaidi.
Habari ID: 3473326    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/03

TEHRAN (IQNA) – Makundi kadhaa ya wanawake Waislamu nchini Australia wamejitolea kugawa misaada ya chakula kwa wasiojiweza mjini Melbourne katika kipindi hiki cha janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473001    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/26

TEHRAN (IQNA) - Serikali ya Austria inatayarisha mpango wenye utata wa kuwaweka Waislamu wan chi hiyo chini ya uchunguzi mkali kwa lengo la kukabiliana na kile wanachodai ni ‘Uislamu wa Kisiasa.’
Habari ID: 3472985    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/21

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimelaani matamshi ya mwanasiasa wa mrengo wa kulia wa Austria ambaye alivunjia heshima Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3472881    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/20

TEHRAN (IQNA) – Serikali mpya ya mseto nchini Austria imekosolewa kutokana na kufuata sera dhidi ya Waislamu na raia wa kigeni.
Habari ID: 3472377    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/16

TEHRAN (IQNA)- Mahakama nchini Austria imebatilisha uamuzi wa serikali kufunga misikiti sita ya jamii ya Waarabu nchini humo.
Habari ID: 3471842    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/15

Rais wa Uturuki atahadharisha
TEHRAN (IQNA) – Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amemkosoa Kansela Sebastian Kurz wa Austria kufuatia uamuzi wa serikali yake kufunga misikiti saba na kuwatimua maimamu 40.
Habari ID: 3471550    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/10

TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Austria wamekosoa matamshi dhid iya vazi la Hijabu ambayo yametamkwa na waziri mpya wa elimu Heinz Fassmann.
Habari ID: 3471332    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/30

TEHRAN (IQNA) Kumeshuhudiwa ongezeko la 62% la kuhujumiwa Waislamu na Uislamu nchini Austria mwaka 2016.
Habari ID: 3470913    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/30

IQNA-Serikali ya Austria imechukua hatua ya kuwapiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa aina ya hijabu inayofunIka uso wote, maarufu kama niqabu, katika maeneo yote ya umma nchini humo.
Habari ID: 3470825    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/31