iqna

IQNA

mwezi wa ramadhani
Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 17 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478594    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/28

Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478578    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/30

Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478575    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/27

Qur'ani Tukufu
IQNA - Toleo la 4 la Mashindano ya Familia ya Qur'ani lilianza nchini Kuwait siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3478567    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/24

Umrah
IQNA - Wakaazi wa mji mtakatifu wa Makka nchini Saudia wamehimizwa kutoa kipaumbele kwa Mahujaji wa kigeni katika Masjid al-Haram au Msikiti Mkuu.
Habari ID: 3478555    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/22

Maonyesho ya Qur'ani
IQNA - Toleo la 31 la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yalizinduliwa rasmi katika hafla ya Jumatano jioni, Machi 20.
Habari ID: 3478552    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/21

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 10 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478551    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/21

Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478548    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/25

Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478547    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/24

Mwezi wa Ramadhani
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Habari ID: 3478546    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/23

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Televisheni ya satelaiti ya Al-Thaqalayn imeanza kurusha mashindano yake ya kwanza la kimataifa la usomaji wa Tarteel wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478531    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/17

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 4 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478518    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/15

Ramadhani katika Qur’an/1
IQNA – Qur’ani Tukufu inataja neno Ramadhani mara moja na hilo lipo katika Aya ya 185 ya Surah Al-Baqarah.
Habari ID: 3478504    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/14

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya pili ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478500    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/13

Ramadhani Palestina
IQNA - Waislamu wa Palestina huko Gaza wamebakia imara katika Imani na hivyo wana azma ya kutekeleza ibada zote za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa kukusanyika katika mabaki ya misikiti iliyoharibiwa na mabomu ya utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3478485    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/10

Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Mahakama kuu ya Saudi Arabia imetoa wito kwa watu wa nchi hiyo kujaribu kufanya Istihlal (kuutafuta mwezi mwandamo) Jumapili jioni.
Habari ID: 3478480    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/10

Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Msururu wa kozi za mafunzo zimefanyika hivi karibuni ili kuwafundisha wanawake 1,352 wanaojitolea kuwasaidia waumini wanaoelekea kwenye Msikiti wa Mtume yaani Al-Masjid an-Nabawi, eneo la pili kwa utakatifu katika Uislamu, katika mji wa Madina, Saudi Arabia.
Habari ID: 3478473    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/09

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Fanous (taa) imekuwa ishara ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika baadhi ya nchi kwa mamia ya miaka. Taa hii pia ni maarufu kama Fanous Ramadhan.
Habari ID: 3478470    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/08

Hali ya Palestina
IQNA - Mashambulio yasiyokoma ya utawala katili wa Israel kwenye Ukanda wa Gaza uliozingirwa yamewanyima Waislamu duniani furaha ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478469    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/08

Umrah
IQNA – Waislamu wanaotekeleza Hija ndogo Umrah ndio pekee wataruhusiwa kufanya Tawaf (kuzunguka Kaaba Tukufu) katika Msikiti Mkuu wa Makka, Masjid al-Haram, wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478465    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/07