Nakala elfu 20 za filamu ya "Kuondoa Shaka, Muhtasari Kuhusu Uislamu" zimeanza kusambazwa katika jimbo la North Carolina nchini Marekani.
2009 May 05 , 17:34
Baraka za vitabu vya Shahid Ustadh Murtadha Mutahhari haziwanufaishi Wairani peke yao bali aghalabu ya athari zake sasa zimefasiriwa kwa lugha 40 muhimu duniani.
2009 May 05 , 17:12
Kitabu kiitwahco, ‘Usanifu Majengo Katika Ustaarabu wa Kiarabu na Kiislamu’ kimechapishwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Jumuiya ya Nchi za Kiislamu ISESCO.
2009 May 04 , 08:46
Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Jumuiya ya Nchi za Kiislamu ISESCO litashiriki katika kongamano la kila mwaka la Vyombo vya Habari na Mazungumzo Kati ya Tamaduni Mbalimbali lililopangwa kufanyika tarehe 5 May nchini Tunisia.
2009 May 02 , 10:25
Mafanikio makubwa zilizopata sinema zilizozalishwa Iran katika tamasha za sinema za Russia ni jambo linaloashiria mitazamo ya pamoja ya nchi hizi mbili katika masuala ya utamaduni.
2009 Apr 30 , 15:46
Maktaba imebainika kuwa na nafasi muhimu zaidi katika kujenga ustaarabu wa Kiislamu ambapo wakati huo zilikuwa zikijulikana kama nyumba ya hekima.
2009 Apr 30 , 15:35
Waalimu wamegundua kuwepo makosa ya chapa katika nuskha moja ya Qur'ani iliyochapishwa mjini Damscus Syria, huko katika eneo la Jazan nchini Saudi Arabia. Walimu hao Khalid al-Jahni na Muhammad Nahari wa shule ya msingi ya Ahfad katika eneo la Jazan wamesema makosa hayo yalionekana katika baadhi ya sura ambapo jina la Mwenyezi Mungu limefutwa.
2009 Apr 28 , 13:51
Kwa kuwa na vitabu zaidi ya 90,000 kwenye mtandao wa intaneti, Maktaba ya Jamiatul Mustafa ya Kimataifa, tawi la mji mtakatifu wa Mash'had, ni moja ya mifano michache ya maktaba kama hizo katika ulimwengu wa Kiislamu.
2009 Apr 28 , 12:37
Akizungumza na Mkuu wa Taasisi ya Televiseni na Redio ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mkoa wa Khorasan Kaskazini, Zeinul Abideen Ruhaniniya, Mkuu wa Idara ya Uhubiri wa Kiislamu mkoani humo amesema kuwa lengo kuu la maadui wa mfumo wa Kiislamu wa Iran ni kufuta kabisa utambulisho na utamaduni wa Kiislamu.
2009 Apr 22 , 11:37
Kutokana na juhudi zake za kuimarisha mfungamano wa kiutamaduni na kuhuisha moyo wa jamii mbalimbali za kidini na kiutamaduni kuishi pamoja kwa amani, Umoja wa Mataifa umeamua kuituza Beirut ambao ni mji mkuu wa Lebanon kwa kuutaja kuwa ni Mji Mkuu wa Dunia wa Vitabu katika mwaka huu wa 2009.
2009 Apr 22 , 11:33
Hussein Safarharandi Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesifu kunawiri kwa sanaa ya uigizaji ya Iran katika ngazi za ndani na nje ya mipaka ya nchi na kuwatakia mafanikio zaidi wasanii wanaojishughulisha na suala hilo.
2009 Apr 21 , 15:30
Kitabu cha Dini, Utamaduni na Jamiii kilichoandikwa na Hassan Saffar, imam wa msikiti wa mji wa Qatif nchini Saudi Arabia kimeanza kuuzwa katika maduka ya vitabu katika nchi za Saudia na Lebanon.
2009 Apr 20 , 14:50
Chuo cha Utamaduni na Sanaa cha Iran kimeandaa kikao cha kuchunguza athari za Mshairi ya Saadi kwa sanaa ya Kiirani na Kiislamu, kwa mnasaba wa kuadhimishwa siku ya kimataifa ya mshairi huyo mashuhuri.
2009 Apr 16 , 12:42