Kitivo cha Elimu ya Tiba na Huduma za Afya cha Chuo Kikuu cha Beheshti kimeandaa kikao cha kwanza cha kitaifa cha Utamaduni na Urithi wa Tiba ya Kiislamu na Iran.
2009 Mar 10 , 18:30
Kongamano la fasihi la al Mustafa linatazamiwa kufanyika tareha 12 mwezi huu wa Machi nchini Iran kujadili maudhui ya nafasi ya mashairi na fasihi katika kueneza na kulingania dini ya Kiislamu.
2009 Mar 10 , 16:08
Kanali ya kimataifa ya televisheni ya Sahar imeazimia kutengeneza filamu ya katuni kuhusu vita na mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza.
2009 Mar 10 , 16:05
Maonyesho ya sanaa ya wasanii wa Pakistan yatafanyika tarehe 10 hadi 15 mwezi huu wa Machi kwa mnasaba wa kuzaliwa Mtume Muhammad (saw) na Wiki ya Umoja wa Kiislamu katika Kituo cha Utamaduni cha al-Hamraa mjini Lahore.
2009 Mar 03 , 22:21
Kitabu cha Visa vya Mitume kimechapishwa nchini Russia kwa hisani ya Kituo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Moscow.
2009 Mar 03 , 15:47
Kwa mara ya kwanza kabisa nchini Iran, kituo maalumu cha lugha cha kutayarisha watarjumi wa Qur'ani Tukufu kitaasisiwa na Taasisi ya Utamaduni ya Tarjuma ya Wahyi katika mji mtakatifu wa Qum.
2009 Feb 26 , 09:52
Ingawa Qur'ani Tukufu haijaashiria suala ya sikukuu ya Nairuzi, lakini baadhi ya mila na desturi za sikuu hiyo ambazo zina mtazamo wa kimalezi zimeidhinishwa na Uislamu.
2009 Feb 22 , 18:18
Maonyesho ya turathi za Kiislamu yaliyopewa jina la 'Hazina ya Dunia', yamefunguliwa katika eneo la Jumba la Makumbusho la Kremlin nchini Russia.
2009 Feb 22 , 10:29
Mwanazuoni mmoja mashuhuri wa Saudi Arabia amekemea juhudi zinazofanywa na viongozi na baadhi ya wanazuoni wa kidini nchini humo za kuharibu maeneo ya kihistoria ya Kiislamu kwa kisingizio cha kupambana na ushirikiana.
2009 Feb 21 , 12:33
Vitabu 12 kuhusu Qur'ani Tukufu, Mtume Mtukufu (SAW), Nahjul Balagha na Imam Hussein (AS) vimechapishwa kwa hisani ya Mwambata wa Utamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Ufaransa.
2009 Feb 19 , 12:35
Mtazamo wa filamu za Magharibi na hasa Hollywood kuhusu Uislamu ni wa kisiasa kabisa.
2009 Feb 19 , 12:27
Toleo jipya la jarida la kila miezi mitatu la "Iran ya Kitamaduni" limechapishwa nchini Lebanon.
2009 Feb 19 , 12:13
Tamasha ya kwanza ya kimataifa ya filamu za masuala ya kibinadamu inatazamiwa kufanyika tarehe 27 Aprili mpaka Mei Mosi mwaka huu mjini Tehran ikihudhuriwa na watengenezaji filamu mashuhuri wa nchi mbalimbali.
2009 Feb 18 , 11:26