IQNA

Ukandamizaji Dhidi ya wanazuoni wa Kishia waongezeka nchini Bahrain

IQNA – Jumuia kuu ya upinzani nchini Bahrain, Jumuia ya Kitaifa ya Kiislamu ya al-Wefaq, imetoa tamko likitaka uingiliaji wa haraka wa mashirika ya kimataifa...

Mwislamu ajeruhiwa kwa kisu huko Utah kwa sababu ya Imani yake

IQNA – Mfanyakazi mmoja Mwislamu wa vibanda vya biashara amechomwa kisu zaidi ya mara 15 ndani ya kituo cha ununuzi (mall) huko Utah, Marekani, na mtu...

Msahafu wa miaka elfu moja waangaziwa katika Maonyesho ya Makka

IQNA – Nakala nadra ya Qur’ani Tukufu, inayokadiriwa kuwa na umri wa zaidi ya miaka 1,000, kwa sasa inawavutia wageni wengi katika Maonesho ya ‘Iqra’ yanayofanyika...

Mamlaka za Uingereza zamfungulia mashtaka aliyehusika na mpango wa kushambulia Misikiti ya London

IQNA – Mamlaka za Uingereza zimemfungulia mashtaka kijana mmoja kufuatia uchunguzi wa njama zilizodaiwa kuwa zililenga kushambulia misikiti katika jiji...
Habari Maalumu
Makala 500 za utafiti zawasilishwa katika Kongamano la 6 la Kimataifa la Afya katika Arbaeen

Makala 500 za utafiti zawasilishwa katika Kongamano la 6 la Kimataifa la Afya katika Arbaeen

TEHRAN – Mkuu wa kamati ya kisayansi ya Kongamano la 6 la Kimataifa la “Afya katika Arubaini” ametangaza kuwa jumla ya karatasi za utafiti 500 zimewasilishwa...
15 Jul 2026, 23:31
Iran yaonya italenga miundombinu yote ya eneo iwapo miundombinu yake itashambuliwa

Iran yaonya italenga miundombinu yote ya eneo iwapo miundombinu yake itashambuliwa

IQNA-Iran imeonya kwamba italenga kila miundombinu iliyosalia katika eneo hili iwapo miundombinu yake itashambuliwa.
16 Jul 2026, 14:47
Chuo cha Qur’ani nchini Kosovo chazindua darsa za likizo ya kiangazi

Chuo cha Qur’ani nchini Kosovo chazindua darsa za likizo ya kiangazi

IQNA – Katika kuamsha ari ya mapenzi ya Kitabu cha Mwenyezi Mungu wakati wa likizo ya kiangazi, Chuo cha Tahfidh cha “Little Memorizers” (Wahifadhi Wadogo)...
15 Jul 2026, 23:11
Washindi wa Tuzo ya Kimataifa ya Ushairi ya ‘Imamu Shahidi’ Watunukiwa

Washindi wa Tuzo ya Kimataifa ya Ushairi ya ‘Imamu Shahidi’ Watunukiwa

IQNA – Washindi wa duru ya kwanza ya Tuzo ya Kimataifa ya Ushairi ya “Imamu Shahidi” walitangazwa na kutunukiwa katika hafla iliyofanyika mjini Tehran...
15 Jul 2026, 22:35
Shule ya Qur’an yazinduliwa katika mkoa wa Osh, Kyrgyzstan

Shule ya Qur’an yazinduliwa katika mkoa wa Osh, Kyrgyzstan

IQNA – Shule mpya ya Qur’an imezinduliwa katika eneo la Myrza-Ake, katika mji wa Uzgen, Mkoa wa Osh, nchini Jamhuri ya Kyrgyzstan.
15 Jul 2026, 22:09
Iran yatangaza mipaka ya kutokea na kuingia kwa mazuwar wa kigeni wa Arbaeen

Iran yatangaza mipaka ya kutokea na kuingia kwa mazuwar wa kigeni wa Arbaeen

IQNA – Makao Makuu ya Ziyara ya Arbaeen nchini Iran, katika taarifa yake, yametangaza mipaka ya kutokea na kuingia kwa mazuwar wa kigeni wa Arbaeen ya...
15 Jul 2026, 21:56
Mwandishi wa Iraq: Ushiriki wa Mamilioni katika Mazishi ya Kiongozi Shahidi una ujumbe wenye nguvu

Mwandishi wa Iraq: Ushiriki wa Mamilioni katika Mazishi ya Kiongozi Shahidi una ujumbe wenye nguvu

IQNA – Uwepo wa mamilioni ya waumini katika misafara ya mazishi iliyofanyika nchini Iran na Iraq kwa ajili ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu,...
14 Jul 2026, 16:56
Chuo kipya cha Qur’ani chazinduliwa Yemen

Chuo kipya cha Qur’ani chazinduliwa Yemen

IQNA – Chuo Kikuu cha Qur’ani na Shule ya Mafunzo ya Kidini cha Juu kimefunguliwa katika mji wa Rida, mkoani Bayda, nchini Yemen, Jumapili.
14 Jul 2026, 17:29
Vatikani yapinga madai ya Balozi wa Trump kuhusu Ukosoaji wa Papa kwa Vita dhidi ya Iran

Vatikani yapinga madai ya Balozi wa Trump kuhusu Ukosoaji wa Papa kwa Vita dhidi ya Iran

IQNA – Vatikani (Vatican) imekataa jaribio la balozi wa utawala wa Trump katika Vatikan la kuwasilisha ukosoaji wa Papa Leo wa XIV dhidi ya vita vya Marekani...
14 Jul 2026, 17:05
Makumbusho ya Makka yanawasilisha historia ya kuhifadhiwa kwa Qur’ani

Makumbusho ya Makka yanawasilisha historia ya kuhifadhiwa kwa Qur’ani

IQNA – Makumbusho mapya katika Eneo la Kitamaduni la Hira jijini Makka yanawazamisha wageni katika bahari ya historia ya uandishi wa Qur’ani Tukufu.
14 Jul 2026, 17:23
Kongamano lajadili 'Mwelekeo wa Kihistoria wa Sanaa ya Usomaji wa Qur’ani nchini Misri'

Kongamano lajadili 'Mwelekeo wa Kihistoria wa Sanaa ya Usomaji wa Qur’ani nchini Misri'

IQNA – Maktaba ya Alexandria imeandaa kongamano lililopewa anuani ya: “Usomaji wa Qur’ani nchini Misri; Utafiti wa Ukuzaji na Kuporomoka Kwake,” ikiwa...
14 Jul 2026, 17:17
Mikataba ya dola milioni 13.4 katika Maonyesho ya Halal ya D-8 Indonesia

Mikataba ya dola milioni 13.4 katika Maonyesho ya Halal ya D-8 Indonesia

IQNA – Waandaji wa Maonyesho ya Halal ya nchi za D-8 nchini Indonesia (D-8 HEI) 2026 wametangaza kuhitimishwa rasmi kwa hafla hiyo siku ya Jumapili, wakiripoti...
13 Jul 2026, 17:20
ICRO imeandaa Tuzo ya Kimataifa ya Arbaeen Toleo la 12

ICRO imeandaa Tuzo ya Kimataifa ya Arbaeen Toleo la 12

IQNA – Shirika la Iran la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) limeandaa tuzo ya 12 ya Kimataifa ya Arbaeen mwaka huu.
13 Jul 2026, 17:07
Wanafunzi kutoka Austria wajifunza kuhusu Uislamu katika Kituo cha Kiislamu cha Vienna

Wanafunzi kutoka Austria wajifunza kuhusu Uislamu katika Kituo cha Kiislamu cha Vienna

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Vienna, jijini Vienna nchini Austria, kimekaribisha makundi ya wanafunzi kutoka shule mbalimbali nchini humo siku kadhaa...
13 Jul 2026, 16:59
Albanese ataka hati ya haraka ya kukamatwa kwa Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni

Albanese ataka hati ya haraka ya kukamatwa kwa Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni

IQNA – Mtaalamu Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Ardhi za Palestina Zinazokaliwa kwa Mabavu, Francesca Albanese, ametoa wito siku ya Jumapili kwa hati...
13 Jul 2026, 16:54
Mahujaji wa Umrah watembelea Kituo cha Uchapishaji wa Qur’ani Tukufu cha Madina

Mahujaji wa Umrah watembelea Kituo cha Uchapishaji wa Qur’ani Tukufu cha Madina

IQNA – Kundi la waumini wanaotekeleza Hija ndogo ya Umrah lilitembelea siku ya Jumamosi Kituo cha Mfalme Fahd cha Uchapishaji wa Qur’ani Tukufu mjini Madina.
13 Jul 2026, 16:51
Picha‎ - Filamu‎