Habari Maalumu
IQNA – Wanaharakati wa Kiislamu wa Rohingya wamekutana na viongozi wa dunia katika mkutano wa ngazi ya juu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wiki hii,...
01 Oct 2025, 18:25
IQNA – Ofisi ya kiongozi mkuu wa Kishia nchini Iraq, Ayatullah Mkuu Ali al-Sistani, imetangaza kuwa hairuhusiwi kufanya ibada za maombolezo kwa mke wake...
01 Oct 2025, 17:56
IQNA – Serikali ya Maldives (Maldivi) imetangaza kuwa sasa kuna zaidi ya watu 280 waliothibitishwa kama ma-Hafidh wa Qur'an, huku wengine zaidi ya 1,500...
01 Oct 2025, 17:49
IQNA – Tukio la moto katika Msikiti wa Kituo cha Kiislamu Alhikma, ulioko Mtaa wa 32 kusini mwa Minneapolis, limezua wasiwasi mkubwa miongoni mwa viongozi...
01 Oct 2025, 17:45
IQNA – Mkutano maalum umefanyika mjini Tehran kujadili ‘Mpango wa Kiutendaji na Ramani ya Njia ya Kuwafundisha Waislamu Milioni 10 Kuhifadhi Qur’ani’.
30 Sep 2025, 17:01
IQNA – Hafla maalum ya kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa viongozi wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imepangwa kufanyika wiki hii...
30 Sep 2025, 16:52
IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ametuma ujumbe wa rambirambi kwa kiongozi mkuu wa Kishia nchini Iraq, Ayatullah...
30 Sep 2025, 16:40
IQNA – Mwanazuoni kutoka Iran, Karim Zamani, asema kazi za Rumi, hasa Masnavi, zinaakisi kwa kina mafundisho ya Qur’ani Tukufu, kuanzia misingi ya itikadi...
30 Sep 2025, 16:37
IQNA – Vikosi vya Usalama wa Taifa nchini Kuwait vimekamata raia wa Kiarabu aliyehusishwa na kikundi kilichopigwa marufuku, kwa tuhuma za kupanga shambulizi...
30 Sep 2025, 17:11
IQNA – Taasisi ya Mahd Qur'ani ya Iran imetoa vyeti 1,004 kwa wanafunzi waliokamilisha kuhifadhi sura za Qur'ani Tukufu na kuelewa maana ya aya zake katika...
29 Sep 2025, 15:08
IQNA – Mamlaka za Ufalme wa Saudi Arabia zimetangaza mpango wa kuanzisha makumbusho ya kudumu yatakayohifadhi historia ya Hija na Misikiti Miwili Mitukufu...
29 Sep 2025, 15:32
IQNA – Wizara ya Wakfu na Mambo ya Kiislamu ya Qatar, kwa ushirikiano na Chuo Kikuu cha Qatar, imepanga kuandaa mikutano miwili ya kimataifa mapema mwezi...
29 Sep 2025, 15:13
IQNA – Ahmad Abolqassemi, Qari mashuhuri kutoka Iran, amesisitiza uwezo wa kipekee wa nchi hiyo katika uwanja wa usomaji wa Qur’ani Tukufu, akipendekeza...
29 Sep 2025, 13:01
IQNA – Libya imetangaza washindi wa Tuzo ya 13 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu, iliyofikia tamati mjini Benghazi kwa ushiriki wa zaidi ya mataifa 70.
29 Sep 2025, 12:42
IQNA – Toleo la kwanza la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani ya Iran ya “Zayin al-Aswat” (mapambo ya sauti) linatarajiwa kufanyika katika mji mtakatifu wa...
28 Sep 2025, 15:45
IQNA – Katika kumbukumbu ya kifo chake, Kituo cha Fatwa cha Kimataifa cha Al-Azhar kimemuenzi Sheikh Mohammed al-Sayfi, akimtaja mtaalamu na msomi wa Misri...
28 Sep 2025, 15:30