IQNA

Kiongozi Muadhamu ahimiza uenezaji wa mafundisho ya Qur'ani katika jamii

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa wito wa kueneza mafundisho ya Qur'ani Tukufu katika jamii huku akipongeza juhudi za shughuli za...

Kozi ya Kuhifadhi Qur'ani Katika Al Masjid An Nabawi, Madina

IQNA – Kozi ya kina ya mapitio kwa wanaohifadhi Quran Tukufu ilifanyika katika Msikiti wa Mtume, Al Masjid An Nabawi, huko Madina.

Walowezi  Waisraeli wavunjia heshima Qur'ani wakati mashambulizi Ukingo wa Magharibi

IQNA – Walowezi wa Kizayuni Waisraeli wamevunjia heshima nakala za Qur'ani Tukufu na kuharibu mali za Wapalestina katika mfululizo wa mashambulizi karibu...

Wairani washirki kwa njia ya intaneti duru ya kwanza ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an Libya

IQNA-Wawakilishi wawili wa Iran katika mashindano ya 13 ya kimataifa ya Qur’an yaliyoendeshwa Libya walishiriki vikao vya mzunguko wa awali kupitia mtandao.
Habari Maalumu
Hadhi Maarufu ya Maktab ya Imam Sadiq (AS)

Hadhi Maarufu ya Maktab ya Imam Sadiq (AS)

IQNA – Watu wote, wale wanaokubaliana naye na wale wasioafikiana naye, wamekiri kwamba Imam Ja’afar Sadiq (AS) ana nafasi kubwa katika sayansi na elimu,...
25 Apr 2025, 19:42
Msikiti mkubwa zaidi wa Ireland umefungwa kwa Muda

Msikiti mkubwa zaidi wa Ireland umefungwa kwa Muda

IQNA – Msikiti mkubwa zaidi katika mji mkuu wa Ireland umefungwa kwa muda kufuatia mzozo wa ndani
25 Apr 2025, 18:59
“Wewe ni Mwislamu? Mwisho wa Mazungumzo”: Kesi ya ubaguzi katika uuzaji wa gari Marekani

“Wewe ni Mwislamu? Mwisho wa Mazungumzo”: Kesi ya ubaguzi katika uuzaji wa gari Marekani

IQNA – Mmarekani mwenye asili ya Kiarabu amefungua kesi ya ubaguzi dhidi ya Shirika la Big Jay’s Auto Sales huko Shelby Township, Michigan, Marekani akidai...
25 Apr 2025, 18:51
Zaidi ya Waislamu Milioni 18.5 walitekeleza Ibada za Hija na Umrah nchini Saudia mwaka jana

Zaidi ya Waislamu Milioni 18.5 walitekeleza Ibada za Hija na Umrah nchini Saudia mwaka jana

IQNA – Saudi Arabia imetangaza kuwa zaidi ya Waislamu milioni 18.5 walitekeleza ibada za Hija na Umrah mwaka uliopita.
25 Apr 2025, 18:41
Mwanafasihi: Lengo la Qur'ani ni kuhakikisha waumini wana maadili bora

Mwanafasihi: Lengo la Qur'ani ni kuhakikisha waumini wana maadili bora

IQNA – Mwanafasihi wa masomo ya Qur'ani amesisitiza kwamba lengo kuu la Qur'ani ni kubadilisha matendo na tabia ya waumini, si tu kusomwa tu. 
25 Apr 2025, 18:24
Mvulana Mmalaysia mwenye Usonji  ahifadhi Qur'ani nzima kwa miezi 4 pekee

Mvulana Mmalaysia mwenye Usonji  ahifadhi Qur'ani nzima kwa miezi 4 pekee

IQNA – Mvulana Mmalaysia mwenye tatizo la kiakili lijulikanalo kama usonji(autism) ameweza kuhifadhi Qur'ani nzima kwa kipindi kifupi cha miezi minne pekee. 
24 Apr 2025, 13:34
Mkuu wa ICRO: Diplomasia ya Qur'ani ni nguzo ya kufanikisha umoja wa umma

Mkuu wa ICRO: Diplomasia ya Qur'ani ni nguzo ya kufanikisha umoja wa umma

IQNA – Mkuu wa Shirika la Iran Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) ametaja diplomasia ya Qur'ani kama chombo kikuu cha kuleta Ummah Wahida (Ummah...
24 Apr 2025, 13:13
Msomi wa Kiislamu Iran ampongeza Papa Francis kwa kuendeleza mazungumzo baina ya dini

Msomi wa Kiislamu Iran ampongeza Papa Francis kwa kuendeleza mazungumzo baina ya dini

IQNA – Ayatullah Mostafa Mohaghegh Damad, mwanazuoni mwandamizi wa Kiislamu kutoka Iran, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha kiongozi wa Wakatoliki...
23 Apr 2025, 16:25
Vijana wahifadhi wa Qur’ani waenziwa nchini Bahrain

Vijana wahifadhi wa Qur’ani waenziwa nchini Bahrain

IQNA – Sherehe ilifanyika katika Mkoa wa Muharraq, Bahrain siku ya Jumatatu kwa ajili ya kuwaenzi vijana wa Bahrain kwa shughuli zao za Qur’ani katika...
23 Apr 2025, 16:19
Sherehe yafanyika Kuwait kuwatunuku washindi wa Mashindano ya Qur'ani

Sherehe yafanyika Kuwait kuwatunuku washindi wa Mashindano ya Qur'ani

IQNA – Washindi wa mashindano ya tuzo za Qur’ani nchini Kuwait walitunukiwa zawadi katika sherehe iliyofanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo siku ya Jumanne.
23 Apr 2025, 16:16
Masjid Jami Al-Fajri: Ufahamu Msikiti wa Jakarta Ulioiga Mtindo wa Kiosmani

Masjid Jami Al-Fajri: Ufahamu Msikiti wa Jakarta Ulioiga Mtindo wa Kiosmani

IQNA – Msikiti Mkuu wa Al-Fajri (Masjid Jami Al-Fajri) ni msikiti wa kihistoria na wa kipekee katika usanifu, uliopo Kusini mwa Jakarta, Indonesia.
23 Apr 2025, 16:09
Kumbukumbu ya Msomaji wa Ibtihal wa Misri, Sayed Mekawy

Kumbukumbu ya Msomaji wa Ibtihal wa Misri, Sayed Mekawy

IQNA – Sayed Mekawy alikuwa mtu mashuhuri wa Misri katika nyanja za Ibtihal (nyimbo za kidini) na muziki, ambaye urithi wake wa kisanaa na kiroho uko hai...
23 Apr 2025, 15:47
Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi wa Al-Azhar wazawadiwa

Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi wa Al-Azhar wazawadiwa

IQNA – Washindi wa mashindano ya kimataifa ya kukumbuka Qur’ani kwa wanafunzi wa kigeni wa Al-Azhar wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyofanyika nchini...
22 Apr 2025, 16:22
Msomi mtajika wa wa Qur’ani kutoka Algeria afariki Dunia

Msomi mtajika wa wa Qur’ani kutoka Algeria afariki Dunia

IQNA – Sheikh Abdul Hadi L’Aqab, msomi mtajika wa Qur’ani kutoka Algeria, alifariki dunia Jumapili, Aprili 20, 2025.
22 Apr 2025, 16:15
Mpango wa Makka, Madina kwa ajili ya usalama wa Mahujaji

Mpango wa Makka, Madina kwa ajili ya usalama wa Mahujaji

IQNA – Mpango kamili umeanzishwa kuhakikisha usalama wa vyakula, dawa, na bidhaa za matibabu zinazotolewa kwa Mahujaji katika miji ya Makka na Madina wakati...
22 Apr 2025, 16:08
Ayatullah Sistani: Papa Francis alihimiza amani na kuvumiliana 

Ayatullah Sistani: Papa Francis alihimiza amani na kuvumiliana 

IQNA- Kiongozi Mkuu wa kidini wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatullah Sayyid Ali Sistani amesema, Papa Francis alikuwa na hadhi ya juu kiroho...
22 Apr 2025, 15:53
Picha‎ - Filamu‎