IQNA

Al-Azhar ya Misri yazindua Apu ya kufundisha Qur’ani Tukufu

QNA – Kwa jitihada za vituo vinavyohusiana na Al-Azhar nchini Misri, programu maalumu ya kufundisha Qur’ani Tukufu imezinduliwa kwa lengo la kuhudumia...

Mashindano ya Kwanza ya Kitaifa ya Qur’ani ‘Zayin al-Aswat’ yafanyika Qom

IQNA – Siku ya kwanza ya mashindano ya kitaifa ya Qur’ani yajulikanayo kama “Zayin al-Aswat” (mapambo ya sauti) ilianza rasmi Jumatano mjini Qom, yakikusanya...

‘Uharamia Baharini’: Shambulizi la Israeli dhidi ya Msafara wa Sumud unaokwenda Gaza lazua malalamiko makali

IQNA – Hatua ya utawala wa Israeli kuzuia meli za Msafara wa Kimataifa wa Sumud imezua shutuma kali kutoka kwa serikali na mashirika ya kimataifa kote...

Lengo la Mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ latajwa

IQNA – Mkurugenzi mtendaji wa toleo la kwanza la mashindano ya Qur'ani ya kitaifa ya ‘Zayin al-Aswat’ (mapambo ya sauti) amesema kuwa katika mashindano...
Habari Maalumu
Waislamu wa Rohingya wadai haki katika Umoja wa Mataifa, wakemea umwagaji damu kikatili Myanmar

Waislamu wa Rohingya wadai haki katika Umoja wa Mataifa, wakemea umwagaji damu kikatili Myanmar

IQNA – Wanaharakati wa Kiislamu wa Rohingya wamekutana na viongozi wa dunia katika mkutano wa ngazi ya juu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wiki hii,...
01 Oct 2025, 18:25
Ofisi ya Ayatullah Sistani yapiga marufuku maombolezo ya mke wake nje ya Najaf

Ofisi ya Ayatullah Sistani yapiga marufuku maombolezo ya mke wake nje ya Najaf

IQNA – Ofisi ya kiongozi mkuu wa Kishia nchini Iraq, Ayatullah Mkuu Ali al-Sistani, imetangaza kuwa hairuhusiwi kufanya ibada za maombolezo kwa mke wake...
01 Oct 2025, 17:56
Maldives Yaripoti Ukuaji wa Kuhifadhi Qur'an, Idadi ya Ma-Hafidh Yaongezeka

Maldives Yaripoti Ukuaji wa Kuhifadhi Qur'an, Idadi ya Ma-Hafidh Yaongezeka

IQNA – Serikali ya Maldives (Maldivi) imetangaza kuwa sasa kuna zaidi ya watu 280 waliothibitishwa kama ma-Hafidh wa Qur'an, huku wengine zaidi ya 1,500...
01 Oct 2025, 17:49
Moto katika Msikiti wa Minneapolis Marekani wazua hofu miongoni mwa Waislamu licha ya taarifa ya ‘Ajali’

Moto katika Msikiti wa Minneapolis Marekani wazua hofu miongoni mwa Waislamu licha ya taarifa ya ‘Ajali’

IQNA – Tukio la moto katika Msikiti wa Kituo cha Kiislamu Alhikma, ulioko Mtaa wa 32 kusini mwa Minneapolis, limezua wasiwasi mkubwa miongoni mwa viongozi...
01 Oct 2025, 17:45
Mkutano Tehran wajadili mpango wa kuwafundisha watu Milioni 10 kuhifadhi Qur’ani Tukufu

Mkutano Tehran wajadili mpango wa kuwafundisha watu Milioni 10 kuhifadhi Qur’ani Tukufu

IQNA – Mkutano maalum umefanyika mjini Tehran kujadili ‘Mpango wa Kiutendaji na Ramani ya Njia ya Kuwafundisha Waislamu Milioni 10 Kuhifadhi Qur’ani’.
30 Sep 2025, 17:01
Haram Takatifu ya Qom kuandaa hafla ya kumbukumbu ya kifo cha viongozi wa Hizbullah

Haram Takatifu ya Qom kuandaa hafla ya kumbukumbu ya kifo cha viongozi wa Hizbullah

IQNA – Hafla maalum ya kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa viongozi wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imepangwa kufanyika wiki hii...
30 Sep 2025, 16:52
Viongozi wa Iran na Masheikh wa Vyuo vya Kiislamu watoa rambirambi kwa Ayatullah Sistani

Viongozi wa Iran na Masheikh wa Vyuo vya Kiislamu watoa rambirambi kwa Ayatullah Sistani

IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ametuma ujumbe wa rambirambi kwa kiongozi mkuu wa Kishia nchini Iraq, Ayatullah...
30 Sep 2025, 16:40
Mafundisho ya Qur’ani yadhihirika kwa kina katika Mashairi ya Rumi, asema mwanazuoni

Mafundisho ya Qur’ani yadhihirika kwa kina katika Mashairi ya Rumi, asema mwanazuoni

IQNA – Mwanazuoni kutoka Iran, Karim Zamani, asema kazi za Rumi, hasa Masnavi, zinaakisi kwa kina mafundisho ya Qur’ani Tukufu, kuanzia misingi ya itikadi...
30 Sep 2025, 16:37
Kuwait: Mtu akamatwa kwa njama ya kushambulia maeneo ya ibada

Kuwait: Mtu akamatwa kwa njama ya kushambulia maeneo ya ibada

IQNA – Vikosi vya Usalama wa Taifa nchini Kuwait vimekamata raia wa Kiarabu aliyehusishwa na kikundi kilichopigwa marufuku, kwa tuhuma za kupanga shambulizi...
30 Sep 2025, 17:11
Taasis ya Kiirani ya Qurani yatoa zaidi ya vyeti 1,000 vya kuhifadhi Qur'ani ndani ya miezi sita

Taasis ya Kiirani ya Qurani yatoa zaidi ya vyeti 1,000 vya kuhifadhi Qur'ani ndani ya miezi sita

IQNA – Taasisi ya Mahd Qur'ani ya Iran imetoa vyeti 1,004 kwa wanafunzi waliokamilisha kuhifadhi sura za Qur'ani Tukufu na kuelewa maana ya aya zake katika...
29 Sep 2025, 15:08
Saudia Kuanzisha Makumbusho ya Kudumu Kuhusu Hija na Misikiti Miwili Mitukufu

Saudia Kuanzisha Makumbusho ya Kudumu Kuhusu Hija na Misikiti Miwili Mitukufu

IQNA – Mamlaka za Ufalme wa Saudi Arabia zimetangaza mpango wa kuanzisha makumbusho ya kudumu yatakayohifadhi historia ya Hija na Misikiti Miwili Mitukufu...
29 Sep 2025, 15:32
Qatar kuandaa mikutano ya kimataifa kuhusu Qur'ani na Fikra za Kiislamu

Qatar kuandaa mikutano ya kimataifa kuhusu Qur'ani na Fikra za Kiislamu

IQNA – Wizara ya Wakfu na Mambo ya Kiislamu ya Qatar, kwa ushirikiano na Chuo Kikuu cha Qatar, imepanga kuandaa mikutano miwili ya kimataifa mapema mwezi...
29 Sep 2025, 15:13
Pendekezo la ‘Fainali ya Mabingwa’ kwa Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani

Pendekezo la ‘Fainali ya Mabingwa’ kwa Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani

IQNA – Ahmad Abolqassemi, Qari mashuhuri kutoka Iran, amesisitiza uwezo wa kipekee wa nchi hiyo katika uwanja wa usomaji wa Qur’ani Tukufu, akipendekeza...
29 Sep 2025, 13:01
Mashindano ya 13 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Libya yamalizika

Mashindano ya 13 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Libya yamalizika

IQNA – Libya imetangaza washindi wa Tuzo ya 13 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu, iliyofikia tamati mjini Benghazi kwa ushiriki wa zaidi ya mataifa 70.
29 Sep 2025, 12:42
Qom kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Qur’ani ya Kitaifa ya Iran ya ‘Zayin al-Aswat’

Qom kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Qur’ani ya Kitaifa ya Iran ya ‘Zayin al-Aswat’

IQNA – Toleo la kwanza la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani ya Iran ya “Zayin al-Aswat” (mapambo ya sauti) linatarajiwa kufanyika katika mji mtakatifu wa...
28 Sep 2025, 15:45
‘Baba wa Maqari’: Al-Azhar Yamuenzi Sheikh Mohammed al-Sayfi

‘Baba wa Maqari’: Al-Azhar Yamuenzi Sheikh Mohammed al-Sayfi

IQNA – Katika kumbukumbu ya kifo chake, Kituo cha Fatwa cha Kimataifa cha Al-Azhar kimemuenzi Sheikh Mohammed al-Sayfi, akimtaja mtaalamu na msomi wa Misri...
28 Sep 2025, 15:30
Picha‎ - Filamu‎