IQNA

Dar al-Ifta ya Misri yasisitiza uhalali wa maadhimisho ya Maulid ya Mtume Muhammad (SAW)

IQNA – Taasisi ya Dar al-Ifta (Idara ya Fatwa) ya nchini Misri imesisitiza kuwa sherehe za maadhimisho ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW), maarufu...

Maonesho ya Urithi wa Kiislamu yafunguliwa Russia wakati wa Maulid

IQNA – Maonesho yenye kichwa “Urithi wa Kiislamu wa Russia: Watu na Mila” yalifunguliwa katika hafla iliyofanyika Moscow jioni ya Jumamosi.

Aliyevunjia heshima Qur’ani Tukufu nchini Marekani akamatwa Minneapolis

IQNA – Mwanaharakati wa mrengo mkali wa kulia nchini Marekani, ambaye amekuwa akifanya vitendo vya kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu mara kadhaa, amekamatwa...

Magaidi wateka waumini Msikitini Nmchini Nigeria

IQNA – Watu kadhaa wametekwa nyara kutoka katika msikiti mmoja ulioko Jimbo la Niger, eneo la kaskazini-kati mwa Nigeria, na kundi la magaidi, kwa mujibu...
Habari Maalumu
Programu za kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi zahitimishwa nchini Jordan

Programu za kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi zahitimishwa nchini Jordan

IQNA – Programu za bure za kuhifadhi, kusoma, na kusahihisha usomaji wa Qur’ani (Tajweed) kwa wanafunzi wa shule nchini Jordan zimefikia tamati katika...
22 Aug 2026, 17:17
Washindi wa Mashindano ya Qur’ani ya Makka Watunukiwa

Washindi wa Mashindano ya Qur’ani ya Makka Watunukiwa

IQNA – Washindi wa toleo la 46 la Mashindano ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma, na kufasiri Qur’ani Tukufu wametunukiwa katika hafla...
22 Aug 2026, 17:15
Hotuba za Swala ya Ijumaa nchini Singapore kufupishwa

Hotuba za Swala ya Ijumaa nchini Singapore kufupishwa

IQNA – Kutokana na changamoto za hali ya hewa nchini Singapore, vipindi vya hotuba za Swala ya Ijumaa vitafupishwa kwa muda kuanzia wiki hii.
22 Aug 2026, 17:13
 Hamas: Hatua za Utawala wa Kizayuni hazitafuta utambulisho wa Kiislamu wa Msikiti wa Al-Aqsa

 Hamas: Hatua za Utawala wa Kizayuni hazitafuta utambulisho wa Kiislamu wa Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina,  Hamas, imesisitiza kuwa hatua mpya zinazochukuliwa na utawala wa Kizayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa...
22 Aug 2026, 17:10
Aliyevunjia heshima Uislamu nchiniMalaysia afungwa jela nchini

Aliyevunjia heshima Uislamu nchiniMalaysia afungwa jela nchini

IQNA – Mahakama moja katika jimbo la Johor, Malaysia, imemhukumu mwanamume kifungo cha jela kwa kuidhalilisha na kuivunjia heshima dini ya Kiislamu
22 Aug 2026, 17:07
Qari wa Misri afaulu katika taaluma ya tiba na usomaji wa Qur’ani

Qari wa Misri afaulu katika taaluma ya tiba na usomaji wa Qur’ani

IQNA – Salah al-Jamal ni daktari kutoka Misri ambaye amepata mafanikio makubwa katika nyanja za kuhifadhi na kusoma Qur’ani Tukufu.
21 Aug 2026, 15:04
Misikiti elfu kadhaa yajengwa na kukarabatiwa nchini Misri tangu 2014

Misikiti elfu kadhaa yajengwa na kukarabatiwa nchini Misri tangu 2014

IQNA – Msemaji wa Wizara ya Wakfu nchini Misri ametangaza ujenzi au ukarabati wa misikiti takriban 15,000 nchini humo tangu mwaka 2014.
21 Aug 2026, 14:56
Msichana wa Guatemala awa mshiriki mdogo azidi katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

Msichana wa Guatemala awa mshiriki mdogo azidi katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

IQNA – Razan Muhammad Mutawali, msichana wa miaka mitano kutoka Guatemala, ameshiriki katika Mashindano ya 46 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Saudi Arabia.
21 Aug 2026, 14:49
Rekodi  mpya ya Waislamu waliopata nyadhifa za uongozi nchini Marekani mwaka 2026

Rekodi mpya ya Waislamu waliopata nyadhifa za uongozi nchini Marekani mwaka 2026

IQNA – Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani (CAIR) limetangaza kuwa Waislamu 255 wamechaguliwa kushika nyadhifa mbalimbali za umma katika majimbo...
21 Aug 2026, 15:22
Kiongozi wa Kikristo Nigeria ampongeza mwanazuoni wa Kiislamu kwa huduma ya miaka 50

Kiongozi wa Kikristo Nigeria ampongeza mwanazuoni wa Kiislamu kwa huduma ya miaka 50

IQNA – Kiongozi wa Kikristo katika Jimbo la Kaduna nchini Nigeria amemuenzo mwanazuoni wa Kiislamu, Sheikh Usman Mohammed Mai-Mota (Gwalli), kwa kutambua...
20 Aug 2026, 18:56
Rekodi yavunjwa  ya waliojisajili Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai

Rekodi yavunjwa ya waliojisajili Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai

IQNA – Jumla ya maombi 20,500 kutoka nchi 135 yamewasilishwa kwa ajili ya toleo la 29 la Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai (DIHQA).
20 Aug 2026, 19:08
Wairani waadhimisha Siku ya Arubaini tangu Mazishi ya Kiongozi Shahidi

Wairani waadhimisha Siku ya Arubaini tangu Mazishi ya Kiongozi Shahidi

IQNA – Hafla ya Khitma kwa ajili ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ilifanyika mjini Tehran Jumanne jioni, ikiwa...
19 Aug 2026, 13:30
Kozi ya mafunzo kwa waamuzi wa Mashindano ya Qur’ani Yafikia Tamati Nchini Iraq

Kozi ya mafunzo kwa waamuzi wa Mashindano ya Qur’ani Yafikia Tamati Nchini Iraq

IQNA – Kozi maalum ya maandalizi ya waamuzi wa mashindano ya Qur’ani nchini Iraq imefikia tamati kwa hafla adhimu.
19 Aug 2026, 12:55
Watu Kadhaa Wakamatwa Dearborn, Marekani kufuatia uchochezi wa aliyeivunjia heshima Qur’ani

Watu Kadhaa Wakamatwa Dearborn, Marekani kufuatia uchochezi wa aliyeivunjia heshima Qur’ani

IQNA – Polisi wamewakamata watu kadhaa katika mji wa Dearborn, jimbo la Michigan nchini Marekani, baada ya maandamano dhidi ya Uislamu kuwaleta pamoja...
19 Aug 2026, 13:18
Misikiti ya kihistoria ya Kosovo  ni hazina ya kumbukumbu ya kitaifa

Misikiti ya kihistoria ya Kosovo ni hazina ya kumbukumbu ya kitaifa

IQNA – Misikiti ya kihistoria nchini Kosovo inapaswa kutazamwa kama sehemu ya msingi ya urithi wa kiutamaduni na kihistoria wa taifa hilo, si kama maeneo...
19 Aug 2026, 13:07
Waziri wa Elimu wa Misri asisitiza kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi wa shule za msingi

Waziri wa Elimu wa Misri asisitiza kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi wa shule za msingi

IQNA – Waziri wa Elimu wa Misri amesisitiza umuhimu wa kujenga uhusiano imara kati ya wanafunzi na Qur’ani tangu miaka ya mwanzo ya elimu.
18 Aug 2026, 16:25
Picha‎ - Filamu‎