Habari Maalumu
IQNA – Polisi nchini New Zealand wanafanya uchunguzi kuhusu tishio la bomu lililolenga Msikiti wa Kilbirnie uliopo Wellington, hali iliyosababisha kusitishwa...
25 Oct 2025, 14:38
IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amemtaja Allamah Mirza Muhammad Hussain Naeini (Rehmatullah alayh) kama...
24 Oct 2025, 14:48
IQNA – Kwa kuboresha mazingira ya upangaji na uamuzi, na kuongeza ushiriki wa washiriki wenye hamasa, mashindano ya kuhifadhi Qur’ani ya Australia yamegeuka...
24 Oct 2025, 14:56
IQNA – Waziri wa Mambo ya Waqf wa Misri ametoa pongezi zake kwa kuenziwa hivi karibuni kwa Qari maarufu Sheikh Abdul Fattah Taruti wakati wa mashindano...
24 Oct 2025, 14:52
IQNA – Mamlaka za Palestina zimeonya kuwa shughuli za uchimbaji zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel karibu na Msikiti wa Al-Aqsa na katika Mji...
24 Oct 2025, 14:39
IQNA – Serikali ya Ufilipino imezindua mpango mpya wa kukuza nafasi ya taifa hilo la Kusini Mashariki mwa Asia katika soko la kimataifa la utalii 'Halal',...
23 Oct 2025, 16:49
IQNA – Katika tukio la kihistoria lililopeperushwa kupitia kipindi cha televisheni cha Ahl Masr nchini Misri, tafsiri ya Qur'ani Tukufu iliyoandikwa...
23 Oct 2025, 16:39
IQNA – Mtandao wa Mazungumzo ya Kiislamu nchini Norway (Islamic Dialogue Network) umezindua tovuti ya kwanza ya kitaifa ya kupambana na chuki dhidi ya...
23 Oct 2025, 16:33
IQNA – Mwanazuoni mwenye msimamo wa kihafidhina na aliye katika miaka ya tisini ameteuliwa kuwa kiongozi mkuu wa kidini au Mufti Mkuu nchini Saudi Arabia,...
23 Oct 2025, 16:55
IQNA- Kufuatia ongezeko kubwa la uhalifu wa chuki dhidi ya Waislamu nchini Uingereza, serikali inatarajiwa kutangaza ufafanuzi mpya wa neno “'Chuki...
23 Oct 2025, 16:21
IQNA – Shirika la Chakula Duniani la Umoja wa Mataifa (WFP) limesema kuwa kiwango cha chakula kinachoingia Gaza bado kiko chini sana ya lengo la tani 2,000...
22 Oct 2025, 17:00
IQNA – Afisa mwandamizi wa masuala ya Qur’ani amesema kuwa kampeni ya “Aya za Kuishi Nazo” imekua na kuvuka mipaka ya mpango wa kitamaduni, na sasa imegeuka...
22 Oct 2025, 16:24
IQNA – Kutoweza kwa wakosoaji kuleta kilicho sawa na Qur’ani ni ushahidi wa muujiza wake, amesema profesa wa chuo kikuu nchini Iran, akiongeza kuwa hata...
22 Oct 2025, 16:50
IQNA – Hafla ya kukabidhi vyeti kwa wahifadhi wa Qur’ani 318 na wanafunzi wa masomo ya Kiislamu imefanyika katika Msikiti wa Yavuz Sultan Selim mjini Istanbul.
22 Oct 2025, 16:38
IQNA-Kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen amesisitiza katika hotuba yake kuwa, iwapo makubaliano ya kusitisha vita huko Gaza yatakiukwa, wananchi...
22 Oct 2025, 10:51
Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu/4
IQNA – Ushirikiano na usalama wa kijamii kwa wale waliotengwa na wahitaji ni miongoni mwa masharti muhimu ya mwenendo wa waumini, kwa mujibu wa aya za...
21 Oct 2025, 17:38