IQNA

Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu/5

Misingi ya Ushirikiano Katika Qur’ani Tukufu

IQNA – Kwa mujibu wa mtazamo wa Kiislamu, binadamu wote ni waja wa Mwenyezi Mungu, na mali yote ni ya Mwenyezi Mungu. Hivyo basi, mahitaji ya wale wasiojiweza...

Usajili Wafunguliwa kwa Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu Algeria

IQNA – Usajili umefunguliwa rasmi kwa toleo la 21 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu nchini Algeria, mojawapo ya mashindano yenye heshima kubwa...

Maandishi ya Kale Yaliyofichwa Katika Hazina za Kihistoria za Tunisia

IQNA – Maktaba mbalimbali nchini Tunisia, zikiwemo zile za vyuo vikuu vya Zaytouna na Kairouan pamoja na maktaba binafsi, zimehifadhi maelfu ya maandishi...

Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu kwa Wanawake Yaendelea Sanandaj, Iran

IQNA – Washiriki wa kitengo cha wanawake katika Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran waliendelea kuonesha umahiri wao siku ya tatu...
Habari Maalumu
Tishio la Bomu Laisimamisha Shughuli za Msikiti wa Kilbirnie Nchini New Zealand

Tishio la Bomu Laisimamisha Shughuli za Msikiti wa Kilbirnie Nchini New Zealand

IQNA – Polisi nchini New Zealand wanafanya uchunguzi kuhusu tishio la bomu lililolenga Msikiti wa Kilbirnie uliopo Wellington, hali iliyosababisha kusitishwa...
25 Oct 2025, 14:38
Ayatullah Khamenei amtaja Allamah Naeini kuwa Nguzo ya Kielimu katika Chuo cha Kale cha Najaf

Ayatullah Khamenei amtaja Allamah Naeini kuwa Nguzo ya Kielimu katika Chuo cha Kale cha Najaf

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amemtaja Allamah Mirza Muhammad Hussain Naeini (Rehmatullah alayh) kama...
24 Oct 2025, 14:48
Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani Australia: Jukwaa la Kuwaenzi Wanafunzi na Wahudumu wa Qur’ani

Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani Australia: Jukwaa la Kuwaenzi Wanafunzi na Wahudumu wa Qur’ani

IQNA – Kwa kuboresha mazingira ya upangaji na uamuzi, na kuongeza ushiriki wa washiriki wenye hamasa, mashindano ya kuhifadhi Qur’ani ya Australia yamegeuka...
24 Oct 2025, 14:56
Waziri wa Awqaf wa Misri ampongeza Qari mwandamizi kwa kuenziwa Moscow

Waziri wa Awqaf wa Misri ampongeza Qari mwandamizi kwa kuenziwa Moscow

IQNA – Waziri wa Mambo ya Waqf wa Misri ametoa pongezi zake kwa kuenziwa hivi karibuni kwa Qari maarufu Sheikh Abdul Fattah Taruti wakati wa mashindano...
24 Oct 2025, 14:52
Idara ya Mkoa wa Al-Quds Yaonya: Uchimbaji unaofanywa na Israel unavuruga misingi ya Msikiti wa Al-Aqsa

Idara ya Mkoa wa Al-Quds Yaonya: Uchimbaji unaofanywa na Israel unavuruga misingi ya Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Mamlaka za Palestina zimeonya kuwa shughuli za uchimbaji zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel karibu na Msikiti wa Al-Aqsa na katika Mji...
24 Oct 2025, 14:39
Ufilipino Yazindua ‘Muslim Travelogue’ Kuimarisha Sekta ya Utalii  'Halal'

Ufilipino Yazindua ‘Muslim Travelogue’ Kuimarisha Sekta ya Utalii 'Halal'

IQNA – Serikali ya Ufilipino imezindua mpango mpya wa kukuza nafasi ya taifa hilo la Kusini Mashariki mwa Asia katika soko la kimataifa la utalii 'Halal',...
23 Oct 2025, 16:49
Tafsiri ya Qur'an Iliyoandikwa Kwa Mkono na Marehemu Ahmed Omar Hashem Yazinduliwa Rasmi Nchini Misri

Tafsiri ya Qur'an Iliyoandikwa Kwa Mkono na Marehemu Ahmed Omar Hashem Yazinduliwa Rasmi Nchini Misri

IQNA – Katika tukio la kihistoria lililopeperushwa kupitia kipindi cha televisheni cha Ahl Masr nchini Misri, tafsiri ya Qur'ani Tukufu iliyoandikwa...
23 Oct 2025, 16:39
Norway Yazindua Tovuti ya Kitaifa Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu

Norway Yazindua Tovuti ya Kitaifa Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu

IQNA – Mtandao wa Mazungumzo ya Kiislamu nchini Norway (Islamic Dialogue Network) umezindua tovuti ya kwanza ya kitaifa ya kupambana na chuki dhidi ya...
23 Oct 2025, 16:33
Sheikh Saleh Al-Fawzan Ateuliwa Mufti Mkuu Mpya wa Saudi Arabia

Sheikh Saleh Al-Fawzan Ateuliwa Mufti Mkuu Mpya wa Saudi Arabia

IQNA – Mwanazuoni mwenye msimamo wa kihafidhina na aliye katika miaka ya tisini ameteuliwa kuwa kiongozi mkuu wa kidini au Mufti Mkuu nchini Saudi Arabia,...
23 Oct 2025, 16:55
Uingereza yatakiwa kufafanua maana ya 'Chuki Dhidi ya Uislamu' (Islamophobia)

Uingereza yatakiwa kufafanua maana ya 'Chuki Dhidi ya Uislamu' (Islamophobia)

IQNA- Kufuatia ongezeko kubwa la uhalifu wa chuki dhidi ya Waislamu nchini Uingereza, serikali inatarajiwa kutangaza ufafanuzi mpya wa neno “'Chuki...
23 Oct 2025, 16:21
WFP: Ugavi wa chakula Gaza haujafikia wanaohitaji zaidi

WFP: Ugavi wa chakula Gaza haujafikia wanaohitaji zaidi

IQNA – Shirika la Chakula Duniani la Umoja wa Mataifa (WFP) limesema kuwa kiwango cha chakula kinachoingia Gaza bado kiko chini sana ya lengo la tani 2,000...
22 Oct 2025, 17:00
Mpango wa Kitaifa wa Qur’ani Iran “Aya za Kuishi Nazo” Watarajiwa Kuwafikia Mamilioni

Mpango wa Kitaifa wa Qur’ani Iran “Aya za Kuishi Nazo” Watarajiwa Kuwafikia Mamilioni

IQNA – Afisa mwandamizi wa masuala ya Qur’ani amesema kuwa kampeni ya “Aya za Kuishi Nazo” imekua na kuvuka mipaka ya mpango wa kitamaduni, na sasa imegeuka...
22 Oct 2025, 16:24
Msomi: Mitazamo ya uadui yenyewe yathibitisha Muujiza wa Qur’ani

Msomi: Mitazamo ya uadui yenyewe yathibitisha Muujiza wa Qur’ani

IQNA – Kutoweza kwa wakosoaji kuleta kilicho sawa na Qur’ani ni ushahidi wa muujiza wake, amesema profesa wa chuo kikuu nchini Iran, akiongeza kuwa hata...
22 Oct 2025, 16:50
Wahifadhi Qur’ani 318 Wakabidhiwa Vyeti Katika Hafla ya Istanbul

Wahifadhi Qur’ani 318 Wakabidhiwa Vyeti Katika Hafla ya Istanbul

IQNA – Hafla ya kukabidhi vyeti kwa wahifadhi wa Qur’ani 318 na wanafunzi wa masomo ya Kiislamu imefanyika katika Msikiti wa Yavuz Sultan Selim mjini Istanbul.
22 Oct 2025, 16:38
Ansarullah iko tayari kurejea kwa nguvu zaidi katika uwanja wa mapambano dhidi ya adui

Ansarullah iko tayari kurejea kwa nguvu zaidi katika uwanja wa mapambano dhidi ya adui

IQNA-Kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen amesisitiza katika hotuba yake kuwa, iwapo makubaliano ya kusitisha vita huko Gaza yatakiukwa, wananchi...
22 Oct 2025, 10:51
Misingi ya Nadharia ya Ushirikiano na Usalama wa Kijamii
Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu/4

Misingi ya Nadharia ya Ushirikiano na Usalama wa Kijamii

IQNA – Ushirikiano na usalama wa kijamii kwa wale waliotengwa na wahitaji ni miongoni mwa masharti muhimu ya mwenendo wa waumini, kwa mujibu wa aya za...
21 Oct 2025, 17:38
Picha‎ - Filamu‎