IQNA – Mamia ya maelfu ya wafanyaziyara walikusanyika katika Haram ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran mnamo Mei 8, 2025, kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imamu huyo wa nane wa Waislamu wa madhehebu ya ya Sshia.
IQNA – Takribani vijana 5,000 wanaojifunza Qur’ani walikusanyika katika haram ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad mnamo Mei 3, 2025, kusoma Qur’ani Tukufu wakati wa sherehe za kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam huyo wa nane wa Waislamu wa madhehebu ya Shia.