IQNA

Kikao cha Kujikurubisha na Qur’ani  Katika Msikiti wa Quba, Sanandaj, Iran

Kikao cha Kujikurubisha na Qur’ani Katika Msikiti wa Quba, Sanandaj, Iran

IQNA- Katika tukio la kiroho lililojumuisha usomaji wa Qur’ani kimefanyika katika Msikiti Mkuu wa Quba, eneo la Baharan, Sanandaj nchini Iran.
16:13 , 2025 Oct 25
Misingi ya Ushirikiano Katika Qur’ani Tukufu

Misingi ya Ushirikiano Katika Qur’ani Tukufu

IQNA – Kwa mujibu wa mtazamo wa Kiislamu, binadamu wote ni waja wa Mwenyezi Mungu, na mali yote ni ya Mwenyezi Mungu. Hivyo basi, mahitaji ya wale wasiojiweza yanapaswa kutimizwa kupitia ushirikiano wa kijamii.
15:48 , 2025 Oct 25
Usajili Wafunguliwa kwa Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu Algeria

Usajili Wafunguliwa kwa Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu Algeria

IQNA – Usajili umefunguliwa rasmi kwa toleo la 21 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu nchini Algeria, mojawapo ya mashindano yenye heshima kubwa katika kanda ya Afrika Kaskazini.
15:29 , 2025 Oct 25
Maandishi ya Kale Yaliyofichwa Katika Hazina za Kihistoria za Tunisia

Maandishi ya Kale Yaliyofichwa Katika Hazina za Kihistoria za Tunisia

IQNA – Maktaba mbalimbali nchini Tunisia, zikiwemo zile za vyuo vikuu vya Zaytouna na Kairouan pamoja na maktaba binafsi, zimehifadhi maelfu ya maandishi ya kale yaliyojumuishwa kutokana na karne nyingi za juhudi za kielimu.
15:19 , 2025 Oct 25
Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu kwa Wanawake Yaendelea Sanandaj, Iran

Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu kwa Wanawake Yaendelea Sanandaj, Iran

IQNA – Washiriki wa kitengo cha wanawake katika Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran waliendelea kuonesha umahiri wao siku ya tatu ya mashindano hayo, wakishindania nafasi za juu.
14:41 , 2025 Oct 25
Tishio la Bomu Laisimamisha Shughuli za Msikiti wa Kilbirnie Nchini New Zealand

Tishio la Bomu Laisimamisha Shughuli za Msikiti wa Kilbirnie Nchini New Zealand

IQNA – Polisi nchini New Zealand wanafanya uchunguzi kuhusu tishio la bomu lililolenga Msikiti wa Kilbirnie uliopo Wellington, hali iliyosababisha kusitishwa kwa shughuli zote za msikiti huo kwa muda.
14:38 , 2025 Oct 25
Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani Australia: Jukwaa la Kuwaenzi Wanafunzi na Wahudumu wa Qur’ani

Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani Australia: Jukwaa la Kuwaenzi Wanafunzi na Wahudumu wa Qur’ani

IQNA – Kwa kuboresha mazingira ya upangaji na uamuzi, na kuongeza ushiriki wa washiriki wenye hamasa, mashindano ya kuhifadhi Qur’ani ya Australia yamegeuka kuwa mfano bora wa kuimarisha utambulisho wa vijana Waislamu nchini humo.
14:56 , 2025 Oct 24
Waziri wa Awqaf wa Misri ampongeza Qari mwandamizi kwa kuenziwa Moscow

Waziri wa Awqaf wa Misri ampongeza Qari mwandamizi kwa kuenziwa Moscow

IQNA – Waziri wa Mambo ya Waqf wa Misri ametoa pongezi zake kwa kuenziwa hivi karibuni kwa Qari maarufu Sheikh Abdul Fattah Taruti wakati wa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yaliyofanyika mjini Moscow, Russia
14:52 , 2025 Oct 24
Ayatullah Khamenei amtaja Allamah Naeini kuwa Nguzo ya Kielimu katika Chuo cha Kale cha Najaf

Ayatullah Khamenei amtaja Allamah Naeini kuwa Nguzo ya Kielimu katika Chuo cha Kale cha Najaf

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amemtaja Allamah Mirza Muhammad Hussain Naeini (Rehmatullah alayh) kama mmoja wa nguzo mashuhuri zaidi za kielimu na kiroho katika Hawza (Chuo kikuu cha Kiislamu) ya kale ya Najaf, Iraq.
14:48 , 2025 Oct 24
Idara ya Mkoa wa Al-Quds Yaonya: Uchimbaji unaofanywa na Israel unavuruga misingi ya Msikiti wa Al-Aqsa

Idara ya Mkoa wa Al-Quds Yaonya: Uchimbaji unaofanywa na Israel unavuruga misingi ya Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Mamlaka za Palestina zimeonya kuwa shughuli za uchimbaji zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel karibu na Msikiti wa Al-Aqsa na katika Mji wa Kale wa Al-Quds (Jerusalem) zinaweza kuhatarisha uimara wa msikiti huo mtukufu.
14:39 , 2025 Oct 24
Sheikh Saleh Al-Fawzan Ateuliwa Mufti Mkuu Mpya wa Saudi Arabia

Sheikh Saleh Al-Fawzan Ateuliwa Mufti Mkuu Mpya wa Saudi Arabia

IQNA – Mwanazuoni mwenye msimamo wa kihafidhina na aliye katika miaka ya tisini ameteuliwa kuwa kiongozi mkuu wa kidini au Mufti Mkuu nchini Saudi Arabia, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya serikali.
16:55 , 2025 Oct 23
Ufilipino Yazindua ‘Muslim Travelogue’ Kuimarisha Sekta ya Utalii  'Halal'

Ufilipino Yazindua ‘Muslim Travelogue’ Kuimarisha Sekta ya Utalii 'Halal'

IQNA – Serikali ya Ufilipino imezindua mpango mpya wa kukuza nafasi ya taifa hilo la Kusini Mashariki mwa Asia katika soko la kimataifa la utalii 'Halal', linalokua kwa kasi.
16:49 , 2025 Oct 23
Tafsiri ya Qur'an Iliyoandikwa Kwa Mkono na Marehemu Ahmed Omar Hashem Yazinduliwa Rasmi Nchini Misri

Tafsiri ya Qur'an Iliyoandikwa Kwa Mkono na Marehemu Ahmed Omar Hashem Yazinduliwa Rasmi Nchini Misri

IQNA – Katika tukio la kihistoria lililopeperushwa kupitia kipindi cha televisheni cha Ahl Masr nchini Misri, tafsiri ya Qur'ani Tukufu iliyoandikwa kwa mkono na mwanazuoni mashuhuri wa Al-Azhar, marehemu Sheikh Ahmed Omar Hashem, imewasilishwa kwa mara ya kwanza hadharani. Kazi hiyo ya miaka kumi imekamilika kabla ya kifo chake mapema mwezi huu.
16:39 , 2025 Oct 23
Norway Yazindua Tovuti ya Kitaifa Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu

Norway Yazindua Tovuti ya Kitaifa Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu

IQNA – Mtandao wa Mazungumzo ya Kiislamu nchini Norway (Islamic Dialogue Network) umezindua tovuti ya kwanza ya kitaifa ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), iitwayo stoppmuslimhat.no.
16:33 , 2025 Oct 23
Uingereza yatakiwa kufafanua maana ya 'Chuki Dhidi ya Uislamu' (Islamophobia)

Uingereza yatakiwa kufafanua maana ya 'Chuki Dhidi ya Uislamu' (Islamophobia)

IQNA- Kufuatia ongezeko kubwa la uhalifu wa chuki dhidi ya Waislamu nchini Uingereza, serikali inatarajiwa kutangaza ufafanuzi mpya wa neno “'Chuki Dhidi ya Uislamu' (Islamophobia)”—ambapo huenda likabadilishwa na kuwa “chuki dhidi ya Waislamu.”
16:21 , 2025 Oct 23
1