IQNA

Maonyesho ya Sanaa ya Qur’ani Yafunguliwa Karbala wakati wa mjumuiko wa Arbaeen

Maonyesho ya Sanaa ya Qur’ani Yafunguliwa Karbala wakati wa mjumuiko wa Arbaeen

IQNA – Maonyesho ya sanaa yenye maudhui ya Qur’ani yameandaliwa kando ya njia ya Ziyara ya Arbaeen ili kuonesha thamani za harakati ya Imam Hussein (AS) kupitia kazi za sanaa za kuona.
23:53 , 2025 Aug 10
MO Salah wa Liverpool akosoa  msimamo wa UEFA kuhusu Israel kumuua Pele wa Palestina'

MO Salah wa Liverpool akosoa msimamo wa UEFA kuhusu Israel kumuua Pele wa Palestina'

IQNA-Mshambuliaji wa timu ya soka ya Liverpool, Mohamed Salah amekosoa hatua ya Muungano wa Vyama vya Soka vya Ulaya UEFA ya kumuenzi Suleiman Al-Obeid, anayejulikana kama "Pele wa Palestina," baada ya bodi inayosimamia soka ya Ulaya kutoelezea mazingira ya kifo chake wiki hii.
23:46 , 2025 Aug 10
Mwanazuoni afungamanisha matembezi ya Arbaeen na misingi ya ustaarabu wa Kiislamu

Mwanazuoni afungamanisha matembezi ya Arbaeen na misingi ya ustaarabu wa Kiislamu

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran amesema kuwa matembezi Arbaeen yanabeba kanuni muhimu ambazo zinaweza kusaidia kuweka msingi wa kustawishwa upya kwa ustaarabu wa Kiislamu.
23:39 , 2025 Aug 10
 Bingwa wa Malaysia asema amejifunza kutoka Mashaikh wa Qiraa’ah Ulimwenguni

 Bingwa wa Malaysia asema amejifunza kutoka Mashaikh wa Qiraa’ah Ulimwenguni

IQNA – Qari bora wa kiume wa Malaysia katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani mwaka huu nchini humo amesema kuwa kujifunza kutoka kwa mashaikh wa qiraa’ah kutoka pembe zote za dunia kumemuwezesha kufikia ushindi huu.
23:32 , 2025 Aug 10
Kampeni ya Qur’ani Tukufu ya Fath: Qari wa Mauritania Awasilisha Qiraa

Kampeni ya Qur’ani Tukufu ya Fath: Qari wa Mauritania Awasilisha Qiraa

IQNA – Maqari kutoka mataifa mbalimbali wanaendelea kushiriki katika kampeni ya Qur’ani Tukufu ya Fath kwa kuwasilisha video za kisomo chao cha maneno ya Mwenyezi Mungu.
08:57 , 2025 Aug 10
Washindi wa Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya  Qur'ani ya Malaysia watangazwa

Washindi wa Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia watangazwa

IQNA – Wawakilishi wawili kutoka Malaysia wametwaa ubingwa katika Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Kusoma na kuhifadhi Qur’ani Tukufu ya Malaysia (MTHQA) ya 65, kila mmoja katika kipengele chake husika.
08:45 , 2025 Aug 10
Serikali ya Malaysia Kuongeza Fedha kwa Ajili ya Tafsiri za Qur’ani za Taasisi ya Restu

Serikali ya Malaysia Kuongeza Fedha kwa Ajili ya Tafsiri za Qur’ani za Taasisi ya Restu

IQNA – Waziri Mkuu wa Malaysia amesema kuwa serikali yake itatenga ufadhili wa ziada kwa Yayasan Restu ili kuwezesha tafsiri ya Qur’ani Tukufu katika lugha nyengine 30, na hivyo kupanua zaidi upeo wa ujumbe wake wa ulimwengu.
20:25 , 2025 Aug 09
Vitisho  vya kuwaua Waislamu Sydney baada ya mpanga wa kuadhini mwara moja kwa wiki

Vitisho vya kuwaua Waislamu Sydney baada ya mpanga wa kuadhini mwara moja kwa wiki

IQNA – Viongozi wa moja ya misikiti mikubwa zaidi nchini Australia wamesema wamepokea vitisho vya kuuwawa baada ya kutangazwa mpango wa kuweka vipaza sauti vipya kwa ajili ya adhana.
20:16 , 2025 Aug 09
Maoni ya Mufti Mkuu wa Misri kuhusu matumizi ya Akili Mnemba (AI)  katika kutoa Fatwa

Maoni ya Mufti Mkuu wa Misri kuhusu matumizi ya Akili Mnemba (AI) katika kutoa Fatwa

IQNA – Mufti Mkuu wa Misri amesema kuwa akili mnemba (Artificial Intelligence – AI) haina mamlaka ya kutoa maamuzi ya Kiislamu au fatwa.
20:10 , 2025 Aug 09
Wafanyaziyara zaidi ya milioni 3 wa kimataifa wameingia Iraq kwa ajili ya Arbaeen hadi sasa

Wafanyaziyara zaidi ya milioni 3 wa kimataifa wameingia Iraq kwa ajili ya Arbaeen hadi sasa

IQNA – Zaidi ya wafanyaziyara milioni tatu kutoka mataifa ya kigeni tayari wameingia Iraq kushiriki katika matembezi ya kila mwaka ya Arubaini, Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo amesema.
20:03 , 2025 Aug 09
Majaji wapongeza kiwango kinachopanda katika Mashindano ya Qur'ani Malaysia

Majaji wapongeza kiwango kinachopanda katika Mashindano ya Qur'ani Malaysia

IQNA – Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Malaysia (MTHQA), yameimarika kwa mtazamo wa viwango ambapo majaji wamepongeza mahadhi na uhifadhi ulio bora zaidi.
19:43 , 2025 Aug 09
Tuzo ya Qur’ani ya Dubai 2026 Yaingia Hatua Inayofuata na Wasomaji 525 Bora

Tuzo ya Qur’ani ya Dubai 2026 Yaingia Hatua Inayofuata na Wasomaji 525 Bora

IQNA – Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai imetangaza matokeo ya mchujo wa awali, ambapo washiriki 525 wamechaguliwa kuendelea katika toleo la 28 la mashindano hayo.
00:29 , 2025 Aug 09
Iraq yazina njama ya hujuma ya kigaidi ya Daesh dhidi ya wafanyaziyara wa Arbaeen

Iraq yazina njama ya hujuma ya kigaidi ya Daesh dhidi ya wafanyaziyara wa Arbaeen

IQNA – Gavana wa mkoa wa Karbala, Iraq, ametangaza kufanikiwa kuvuruga njama ya kigaidi iliyolenga wafanyaziyara wa Arbaeen katika eneo lake.
00:25 , 2025 Aug 09
Nchi 128 Kushiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

Nchi 128 Kushiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

IQNA – Msikiti Mtakatifu jijini Makkah unatarajiwa kuanza kuandaa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani kuanzia Jumamosi.
00:19 , 2025 Aug 09
Afisa wa Malaysia: Qur’ani Lazima Iongoze Sera, Elimu na Uchumi

Afisa wa Malaysia: Qur’ani Lazima Iongoze Sera, Elimu na Uchumi

IQNA – Katika ufunguzi wa Kongamano la Dunia la Qur’ani 2025 jijini Kuala Lumpur, Malaysia, wito umetolewa wa kuifanya Qur’ani kuwa mwongozo wa kina katika utungaji sera, elimu, na mikakati ya kiuchumi na isiwe ni ya usomaji na kuhifadhi pekee.
00:15 , 2025 Aug 09
1