IQNA

Mazishi ya Kimbari: Mashahidi 112 wazikwa katika mkusanyiko mkubwa Gaza

Mazishi ya Kimbari: Mashahidi 112 wazikwa katika mkusanyiko mkubwa Gaza

IQNA – Katika tukio la kusikitisha na la kihistoria, miili ya mashahidi 112 imezikwa katika mazishi makubwa zaidi ya halaiki kuwahi kushuhudiwa katika Ukanda wa Gaza.
16:21 , 2026 Aug 05
Mbunge: Arbaeen ni kielelezo cha ujumbe wa kudumu wa Ashura

Mbunge: Arbaeen ni kielelezo cha ujumbe wa kudumu wa Ashura

IQNA – Mbunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesisitiza kuwa Arbaeen inawakilisha mwendelezo wa harakati ya Ashura na uhuishaji wa kiapo cha uaminifu kwa malengo matukufu ya Imam Hussein (AS).
16:13 , 2026 Aug 05
Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) katika Siku ya Arbaeen

Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) katika Siku ya Arbaeen

IQNA – Matembezi ya Arbaeen yalifanyika mjini Karbala, ikiwemo katika Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS), kwa mahudhurio yenye hamasa kubwa ya wapenzi na wafuasi wa Bwana wa Mashahidi, Imam Hussein (AS) siku ya Jumanne.
15:48 , 2026 Aug 05
Arbaeen: Tukio adhimu linalovuka mipaka ya ibada ya kawaida

Arbaeen: Tukio adhimu linalovuka mipaka ya ibada ya kawaida

IQNA – Matembezi ya Arbaeen si tukio la kitamaduni pekee wala ibada ya kawaida, bali ni dhihirisho la falsafa ya kina ya ustaarabu na utu inayoyaita nyoyo za watu huru duniani kuelekea kwenye ukweli, uadilifu, na uhuru.
18:09 , 2026 Aug 04
Wanafunzi wa Gaza Wahitimisha Kusoma Qur’ani Nzima Katika Kikao Kimoja

Wanafunzi wa Gaza Wahitimisha Kusoma Qur’ani Nzima Katika Kikao Kimoja

IQNA-Katika mwendelezo wa kuonyesha ustahimilivu na ari ya kiimani katikati ya mapambano, wanafunzi 110 wa kike wenye kuhifadhi Qur’ani huko Gaza wamefanikiwa kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima katika kikao kimoja cha Khatm al-Qur’an.
17:47 , 2026 Aug 04
Waziri wa Awqaf wa Misri atoa rambirambi kufuatia kufariki kwa Qari mkongwe wa Gharbia

Waziri wa Awqaf wa Misri atoa rambirambi kufuatia kufariki kwa Qari mkongwe wa Gharbia

IQNA – Waziri wa Awqaf wa Misri ametoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kifo cha Sheikh Saeed al-Najjar, msomaji mkongwe zaidi wa Qur’ani katika Mkoa wa Gharbia.
17:39 , 2026 Aug 04
Mashindano ya Usomaji wa Qur’ani nchini Qatar yanalenga kugundua vipaji vya kipekee

Mashindano ya Usomaji wa Qur’ani nchini Qatar yanalenga kugundua vipaji vya kipekee

IQNA – Taasisi ya Kijiji cha Utamaduni (Katara) nchini Qatar imefungua milango ya maombi kwa ajili ya Toleo la 10 la Tuzo ya Usomaji wa Qur’ani Tukufu. Mashindano hayo ya Qur’ani yanafanyika chini ya kauli mbiu: “Kuimarisha Sauti za Usomaji Mwema”.
17:19 , 2026 Aug 04
Mazuwar wa Arbaeen watoa wito wa kulipiza kisasi cha amu ya Kiongozi Shahidi

Mazuwar wa Arbaeen watoa wito wa kulipiza kisasi cha amu ya Kiongozi Shahidi

IQNA – Kongamano la Mazuwar wa Arbaeen likitoa wito wa kulipiza kisasi cha damu ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah SayyidAli Khamenei, limefanyika barabarani kati ya Najaf na Karbala, nchini Iraq. Tukio hili lameshuhudia mahudhurio makubwa ya jamii ya wapenzi wa Qur’ani kutoka Iran, Iraq, na kundi la Mazuwar kutoka mataifa mengine ya Kiislamu.
17:12 , 2026 Aug 04
Wito wa kuongezwa kwa programu za Qur'an katika matembezi ya Arbaeen

Wito wa kuongezwa kwa programu za Qur'an katika matembezi ya Arbaeen

IQNA – Akisisitiza mwitikio mzuri wa programu za Qur'ani Tukufu miongoni mwa mazuwaru wakati wa matembezi ya Arbaeen, msomaji mashuhuri wa Qur'ani kutoka Iran ametoa wito wa kuongezwa kwa idadi ya programu hizo.
16:04 , 2026 Aug 03
Ujumbe wa Kosovo washinda Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani mjini Skopje

Ujumbe wa Kosovo washinda Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani mjini Skopje

IQNA – Wasomaji na mahafidh wa Qur'ani Tukufu kutoka Kosovo wameibuka kuwa ujumbe uliofanya vyema zaidi katika Mashindano ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani ya Balkan yaliyofanyika mjini Skopje, mji mkuu wa Macedonia Kaskazini.
15:48 , 2026 Aug 03
Mashindano ya Kuhifadhi Quran Tukufu mkoani Nineveh, Iraq

Mashindano ya Kuhifadhi Quran Tukufu mkoani Nineveh, Iraq

IQNA-Mashindano makubwa ya kuhifadhi Quran Tukufu yameanza rasmi siku ya Jumamosi katika mkoa wa Nineveh nchini Iraq, yakishirikisha jumla ya mahafidhi elfu ishirini kutoka rika zote
15:43 , 2026 Aug 03
Zaidi ya wanahabari 700 wanaakisi matembezi ya Arbaeen jijini Karbala

Zaidi ya wanahabari 700 wanaakisi matembezi ya Arbaeen jijini Karbala

IQNA – Mbali na uwepo wa wanahabari 143 wa ndani na wanaharakati wa vyombo vya habari wanaohabarisha kuhusu matembezi ya Arbaeen, karibu wanahabari 600, wanaharakati wa vyombo vya habari, wapiga picha, na wafanyakazi wa kiufundi kutoka nchi mbalimbali wanashiriki katika kuangazia tukio hili adhimu.
15:30 , 2026 Aug 03
Ukamilifu na Ujumuishi wa Qur’ani Tukufu

Ukamilifu na Ujumuishi wa Qur’ani Tukufu

IQNA-Qur’ani Tukufu, kitabu cha mwongozo na mwamko wa mwanadamu, katika aya zake inawasilisha ujumbe ulio wazi na wenye kutoa mwanga kwa nyakati zote na kwa wanadamu wote; jumbe hizi zinajumuisha kila kitu kuanzia utunzaji wa imani na maadili ya mtu binafsi, hadi kusimama imara katika dhiki, kuwa na matumaini kwa rehema za Mwenyezi Mungu, uwajibikaji katika jamii, kuepuka kughafilika, na kusonga mbele katika njia ya haki.
15:13 , 2026 Aug 03
Huduma kwa Mazuwar wa Arbaeen katika Kivuko cha Mpaka cha Shalamcheh

Huduma kwa Mazuwar wa Arbaeen katika Kivuko cha Mpaka cha Shalamcheh

IQNA – Matembezi ya Arbaeen, mkusanyiko mkubwa zaidi wa kidini duniani, huwaleta mamilioni ya wapenzi na wafuasi wa Ahl-ul-Bayt (AS) kutoka mataifa mbalimbali katika mji mtukufu wa Karbala kila mwaka.
14:34 , 2026 Aug 03
Matembezi  ya Arbaeen yaendeshwa kwa usalama na utaratibu wa Juu

Matembezi ya Arbaeen yaendeshwa kwa usalama na utaratibu wa Juu

IQNA – Balozi wa Iran nchini Iraq amesema kuwa Mashaya au matembezi ya Arbaeen ya mwaka huu yanaendeshwa kwa utukufu mkubwa zaidi, kwa utaratibu mzuri na ikiwa na changamoto chache ikilinganishwa na miaka iliyopita.
16:21 , 2026 Aug 02
1 2 3 4 5