IQNA

Picha: Kikao cha Usomaji wa Qur'an Katika Haram ya Shah Cheragh, Shiraz

Picha: Kikao cha Usomaji wa Qur'an Katika Haram ya Shah Cheragh, Shiraz

IQNA – Haram tukufu ya Shah Cheragh (AS) iliyoko katika jiji la Shiraz, kusini mwa Iran, iliandaa kikao cha usomaji wa Qur'an Tukufu jioni ya Jumatatu, tarehe 14 Julai 2025.
18:57 , 2025 Jul 18
Arbaeen ni fursa ya kuonesha ustaarabu mpya wa Kiislamu

Arbaeen ni fursa ya kuonesha ustaarabu mpya wa Kiislamu

IQNA – Afisa mmoja wa masuala ya utamaduni kutoka Iran amesema kwamba matembezi makubwa ya kila mwaka ya Arbaeen ni fursa ya kipekee ya kuonesha ustaarabu mpya wa Kiislamu.
18:45 , 2025 Jul 18
Rambi rambi za Ayatullah Sistani kufuatia moto wa jumba la biashara Iraq ambapo wengi walipoteza maisha

Rambi rambi za Ayatullah Sistani kufuatia moto wa jumba la biashara Iraq ambapo wengi walipoteza maisha

IQNA – Ayatullah Mkuu Sayyid Ali al-Sistani, kiongozi wa juu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, ametuma salamu za rambi rambi kwa familia za wahanga wa tukio la moto mkubwa uliotokea katika jumba la biashara mjini Kut.
18:39 , 2025 Jul 18
Afrika Kusini kuweka huduma za Hija chini ya mamlaka moja

Afrika Kusini kuweka huduma za Hija chini ya mamlaka moja

IQNA – Huduma za Hija kwa Waislamu wa Afrika Kusini sasa zitawekwa chini ya usimamizi wa Baraza la Hija na Umra la Afrika Kusini (SAHUC).
18:33 , 2025 Jul 18
Dokumentari yatayarishwa kutambulisha Misikiti muhimu ya Misri

Dokumentari yatayarishwa kutambulisha Misikiti muhimu ya Misri

IQNA – Wizara ya Wakfu (Awqaf) ya Misri imetangaza kutayarishwa kwa mfululizo wa dokumentari zitakazoangazia misikiti muhimu ya nchi hiyo.
18:24 , 2025 Jul 18
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Misri: Wizara ya Wakfu yatangaza tarehe ya mchujo

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Misri: Wizara ya Wakfu yatangaza tarehe ya mchujo

IQNA – Wizara ya Wakfu ya Misri imetangaza majina ya washiriki wa KiMisri waliokidhi masharti ya kushiriki katika mtihani maalum wa uteuzi, ili kuwachagua wawakilishi katika toleo la 32 la mashindano ya kimataifa ya Qur'an nchini humo, pamoja na tarehe ya mtihani huo.
18:16 , 2025 Jul 18
Dunia yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Syria

Dunia yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Syria

IQNA – Jamii ya kimataifa imeendelea kulaani mashambulizi ya anga na droni yaliyofanywa na Israel katika maeneo kadhaa nchini Syria.
22:07 , 2025 Jul 17
Shiriki Kampeni ya Kimataifa ya Qur'ani ya ijulikanayo kama “Fath”

Shiriki Kampeni ya Kimataifa ya Qur'ani ya ijulikanayo kama “Fath”

IQNA – Kampeni mpya ya kimataifa ya Qurani kwa jina “Fath” imezinduliwa kwa lengo la kuinua morali ya majeshi ya Kiislamu na kueneza maadili ya Qurani ndani ya jamii, hasa kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni ya Israel dhidi ya Iran.
10:49 , 2025 Jul 17
Kiongozi: Israel iliomba msaada wa Marekani baada ya kupata pigo katika ulipizaji kisasi wa Iran

Kiongozi: Israel iliomba msaada wa Marekani baada ya kupata pigo katika ulipizaji kisasi wa Iran

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Israel ililazimika "kusalimu amri na kuing'ang'ani Marekani" kwa kukata tamaa, wakati wa vita vya hivi karibuni vya siku 12 dhidi ya Iran, na kuthibitisha kuwa haina na uwezo wa kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu bila msaada.
17:50 , 2025 Jul 16
Kitabu kipya chafafanua historia ya zana za kuandika Qur’ani

Kitabu kipya chafafanua historia ya zana za kuandika Qur’ani

IQNA – Taasisi ya Mfalme Abdulaziz nchini Saudi Arabia imechapisha kitabu kipya kwa lugha ya Kiarabu kinachofuatilia historia ya maendeleo ya zana zilizotumika kuandika Qur’ani Tukufu.
17:39 , 2025 Jul 16
Qari wa Palestina auawa shahidi katika shambulizi la anga la Israel Gaza

Qari wa Palestina auawa shahidi katika shambulizi la anga la Israel Gaza

IQNA – Msomaji wa Qur’ani wa Palestina na mwimbaji wa kaswida za Kiislamu amekufa shahidi katika shambulizi la hivi karibuni la anga lililofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza.
17:33 , 2025 Jul 16
Misri yachukua hatua kudhibiti utoaji wa Fatwa kupitia sheria mpya

Misri yachukua hatua kudhibiti utoaji wa Fatwa kupitia sheria mpya

IQNA – Misri imeingia katika awamu mpya ya kudhibiti machafuko yanayohusiana na utoaji wa Fatwa (hukumu ya kidini), kwa kuandaa sheria mpya ya kuusimamia mchakato huo, kwa mujibu wa Ismail Duwaidar, mkuu wa Redio ya Qur’ani ya taifa hilo.
17:29 , 2025 Jul 16
Warsha ya mtadanoni kujadili jinsi Iran ilivyojibu uchokozi wa Israel

Warsha ya mtadanoni kujadili jinsi Iran ilivyojibu uchokozi wa Israel

IQNA – Shirika la Kimataifa la Habari za Qur’ani limeandaa warsha ya kimtandaoni (webinar) ya kimataifa iitwayo "Hadhi na Nguvu ya Iran; Ujumbe Zaidi ya Makombora" itakayofanyika mwishoni mwa wiki hii.
17:19 , 2025 Jul 16
Kisomo cha Mbinguni:  Kipande Cha Kuvutia kutoka kwa Tilawa ya Qur’ani ya Hamed Shakernejad

Kisomo cha Mbinguni: Kipande Cha Kuvutia kutoka kwa Tilawa ya Qur’ani ya Hamed Shakernejad

IQNA- Usomaji wa Qur’ani Tukufu kwa kweli ni sauti mbinguni, ambapo kila aya ina thawabu kubwa kwa mwenye kuisoma, na kusikiliza kwake huleta faraja kwa nyoyo.
20:50 , 2025 Jul 15
Usomaji wa Aya za Surah al-Fath kwa Tartili na Qari Kutoka Ivory Coast

Usomaji wa Aya za Surah al-Fath kwa Tartili na Qari Kutoka Ivory Coast

IQNA – Baladi Omar, qari mashuhuri wa Qur’ani kutoka nchi ya Ivory Coast ya Afrika Magharibi, ameshiriki katika kampeni ya Qur’ani ya “Fath” kwa kusoma aya nne za mwanzo kutoka Surah al-Fath kwa tartili.
20:41 , 2025 Jul 15
1