IQNA

Iran kuanza operesheni ya kusafirisha wafanyaziara milioni 4 wa Arbaeen kuanzia Julai 25

Iran kuanza operesheni ya kusafirisha wafanyaziara milioni 4 wa Arbaeen kuanzia Julai 25

IQNA – Operesheni ya kusafirisha wafanyaziara kwa ajili ya ibada ya Arbaeen mwaka huu itaanza rasmi tarehe 25 Julai, kwa mujibu wa Naibu Waziri wa Uchukuzi wa Iran, Mehran Ghorbani.
10:17 , 2025 Jul 11
Jeshi la Yemen latekeleza operesheni kali dhidi ya meli iliyokuwa inaelekea 'Israel'

Jeshi la Yemen latekeleza operesheni kali dhidi ya meli iliyokuwa inaelekea 'Israel'

IQNA-Jeshi la Yemen limeshambulia meli nyingine iliyokuwa inaelekea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina 'Israel', ili kuwaunga mkono Wapalestina wanaokabiliwa na mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza.
10:15 , 2025 Jul 10
Mikataba ya Abrahamu ya Trump Imeandikiwa Kushindwa: Mchambuzi

Mikataba ya Abrahamu ya Trump Imeandikiwa Kushindwa: Mchambuzi

IQNA – Mkataba wa Abrahamu wa Trump (ujulikanao pia kama "UAbrahamu wa Trump"), ambao unalenga kudhoofisha dini na haki za kitaifa za Wapalestina, hauwezi kufikia malengo yake, kwa mujibu wa mchambuzi wa kisiasa kutoka Lebanon.
20:15 , 2025 Jul 09
Usomaji wa Pamoja wa Surah Al-Balad na Maqari Wavulana

Usomaji wa Pamoja wa Surah Al-Balad na Maqari Wavulana

IQNA – Video mpya imezinduliwa ikionyesha usomaji wa pamoja wa Surah Al-Balad kutoka kwa vijana wa kikundi cha Tasnim Tawasheeh
18:01 , 2025 Jul 09
Warsha kuhusu nakala za Qur’an yafanyika katika Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Alexandria

Warsha kuhusu nakala za Qur’an yafanyika katika Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Alexandria

IQNA – Warsha yenye kichwa “Sanaa ya Uandikaji Nakala za Qur’an” ilifanyika siku ya Jumanne, Julai 9, pembeni mwa Maonyesho ya 20 ya Kimataifa ya Vitabu ya Alexandria nchini Misri.
17:58 , 2025 Jul 09
Huduma zapanuliwa katika Msikiti Mtukufu wa Makkah

Huduma zapanuliwa katika Msikiti Mtukufu wa Makkah

IQNA – Mamlaka za Saudi Arabia zimeripoti utoaji wa huduma mbalimbali kwa mahujaji na wageni waliotembelea Msikiti Mtukufu wa Makkah katika mwaka wa 1446 na mwanzoni mwa mwaka 1447 Hijria, kama sehemu ya juhudi zinazoendelea kusaidia wasafiri wa kidini na kusimamia shughuli za ibada.
17:53 , 2025 Jul 09
Surat al-Fajr yadhihirisha Falsafa ya Ashura, asema profesa wa masomo ya Kiislamu

Surat al-Fajr yadhihirisha Falsafa ya Ashura, asema profesa wa masomo ya Kiislamu

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran ameelezea kuwa Surat al-Fajr katika Qur'an Tukufu ni sura iliyo na uhusiano wa karibu sana na urithi wa Imam Hussein (AS), akiitaja kuwa ni tafakuri ya kina kuhusu falsafa ya mapinduzi ya Karbala.
17:43 , 2025 Jul 09
Mikusanyiko 114 ya Khitma ya Qur'ani imeandaliwa Iran kwa ajili ya kuwaenzi “Mashahidi wa Nguvu”

Mikusanyiko 114 ya Khitma ya Qur'ani imeandaliwa Iran kwa ajili ya kuwaenzi “Mashahidi wa Nguvu”

IQNA – Jumuiya ya Qur'ani ya Iran imepanga kuandaa mikusanyiko 114 ya usomaji wa Qur'ani katika maeneo mbalimbali ya nchi, kwa ajili ya kuwaenzi mashahidi wa mashambulizi ya hivi karibuni ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
21:01 , 2025 Jul 08
Mufti Mkuu wa Misri akemea kuvamiwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa na walowezi wa Kizayuni

Mufti Mkuu wa Misri akemea kuvamiwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa na walowezi wa Kizayuni

IQNA – Mufti Mkuu wa Misri, Dkt. Nazeer Mohammed Ayyad, ametoa taarifa ya kulaani kali dhidi ya tukio la kuvamiwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa na makundi ya walowezi wa Kizayuni, akieleza kuwa eneo hilo takatifu ni “urithi wa Kiislamu usiogawika wala kujadiliwa kwa namna yoyote.”
20:47 , 2025 Jul 08
Imam Sajjad (AS) alidumisha roho ya Karbala kupitia Dua na Mahubiri

Imam Sajjad (AS) alidumisha roho ya Karbala kupitia Dua na Mahubiri

IQNA-Profesa mmoja kutoka Iran amesema kuwa Imam Ali bin Hussein Sajjad (Aleyhi Salaam), Imamu wa nne katika mlolongo wa Maimamu wa Ahlul Bayt (AS), alikuwa na jukumu muhimu sana katika kuhifadhi ujumbe wa Karbala na kupambana na propaganda za Bani Umayyah kupitia dua, khutuba, na mafundisho ya maadili.
17:49 , 2025 Jul 08
Mapinduzi ya Imam Hussein (AS) yalilenga kufufua roho na kiini cha Uislamu: Mwanazuoni wa Al-Azhar

Mapinduzi ya Imam Hussein (AS) yalilenga kufufua roho na kiini cha Uislamu: Mwanazuoni wa Al-Azhar

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Misri amesema kuwa lengo la mapinduzi ya Imam Hussein (Aleyhi Salaam) lilikuwa kufufua roho na kiini halisi cha dini, wakati ambapo maadili na thamani sahihi za Kiislamu zilikuwa zimepotea, na kilichobakia ni maumbo ya nje tu ya ibada na mila za dini.
17:40 , 2025 Jul 08
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq yasifu mafanikio ya mpango wa usalama wa Ashura Karbala

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq yasifu mafanikio ya mpango wa usalama wa Ashura Karbala

IQNA – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetoa taarifa mchana wa Jumapili ikitangaza mafanikio ya utekelezaji wa mpango wa usalama kwa ajili ya maombolezo ya mwaka huu ya Siku ya Ashura mjini Karbala.
15:31 , 2025 Jul 07
Uwanja wa Ben Gurion wafungwa tena kufuatia shambulio la kombora la Yemen

Uwanja wa Ben Gurion wafungwa tena kufuatia shambulio la kombora la Yemen

IQNA- Mamlaka ya anga ya Israel imesitisha safari zote za ndege za kuwasili na kuondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ben Gurion na kusema kuwa kituo hicho kitaendelea kufungwa "kwa muda usiojulikana" baada ya Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen kufanya shambulio la kombora, kulipiza kisasi vita vya mauaji ya halaiki vinavyoendelea vya utawala wa Tel Aviv dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
15:18 , 2025 Jul 07
Idadi kubwa ya waombolezaji washiriki katika tukio la Tuwairaj mjini Karbala katika Siku ya Ashura

Idadi kubwa ya waombolezaji washiriki katika tukio la Tuwairaj mjini Karbala katika Siku ya Ashura

IQNA – Tukio la jadi wa maombolezo ya Ashura unaojulikana kama Rakdha Tuwairaj limefanyika mjini mtakatifu wa Karbala, Iraq, siku ya Jumapili.
15:15 , 2025 Jul 07
Athari za kihisia na kijamii za tukio miaka 20 baada ya 7/7 kwa Waislamu wa Uingereza

Athari za kihisia na kijamii za tukio miaka 20 baada ya 7/7 kwa Waislamu wa Uingereza

IQNA-Miaka ishirini baada ya mashambulizi ya 7/7 mjini London, Waislamu wa Uingereza bado wanahisi athari za kihisia na kijamii.
14:51 , 2025 Jul 07
4