IQNA

Israel yashambulia Doha kuwalenga viongozi wa Hamas

Israel yashambulia Doha kuwalenga viongozi wa Hamas

IQNA-Ndege za kivita za Israel zimetekeleza mashambulizi ya anga dhidi ya makao makuu ya harakati za upinzani za Hamas katika mji mkuu wa Qatar, Doha, katika kile vyombo vya habari vya Israel vilikitaja kama “operesheni ya mauaji ya kisiasa.”
11:28 , 2025 Sep 10
Rais wa Iran alaani ugaidi wa Israel wa kuwalenga viongozi wa Hamas jijini Doha

Rais wa Iran alaani ugaidi wa Israel wa kuwalenga viongozi wa Hamas jijini Doha

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ameulaani vikali utawala haramu wa Israel kwa kitendo chake 'haramu, cha kinyama na kinacholenga kuvuruga amani ya eneo,' baada ya utawala huo wa Kizayuni kushambulia ardhi ya Qatar na kuwaua shahidi viongozi kadhaa wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas.
11:15 , 2025 Sep 10
Mkutano wa Kimataifa wa Wanawake Tehran Wataka Kususiwa Kikamilifu kwa Utawala wa Kizayuni

Mkutano wa Kimataifa wa Wanawake Tehran Wataka Kususiwa Kikamilifu kwa Utawala wa Kizayuni

IQNA – Washiriki wa mkutano wa kimataifa wa wanawake uliofanyika Tehran wametoa wito wa kususiwa kwa kina kwa utawala wa Kizayuni, wakilaani vita vya mauaji ya halaiki vinavyoendelea dhidi ya Gaza.
14:38 , 2025 Sep 09
Mufti Mkuu wa Kroatia afafanua amri ya Mtume (SAW) kuhusu Umoja wa Waislamu

Mufti Mkuu wa Kroatia afafanua amri ya Mtume (SAW) kuhusu Umoja wa Waislamu

IQNA – Mufti Mkuu wa Kroatia, Sheikh Aziz Hasanović, amesema kuwa Mtume Mtukufu Muhammad (rehema na amani zimshukie) ameitoa amri kwa Ummah wa Kiislamu—na hiyo ni kudumisha umoja wa Waislamu.
14:32 , 2025 Sep 09
UNRWA: Njaa ya Gaza Iliyosababishwa na binadamu yaweza kusitishwa kwa azma ya kisiasa

UNRWA: Njaa ya Gaza Iliyosababishwa na binadamu yaweza kusitishwa kwa azma ya kisiasa

IQNA – Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetaja baa la njaa linaloikumba Ukanda wa Gaza kuwa ni janga lililosababishwa na binadamu, ambalo linaweza kuzuilika na kurekebishwa endapo kutakuwepo na nia ya dhati ya kisiasa.
14:26 , 2025 Sep 09
Mkutano wa Wanafunzi Vijana wa Qur’ani jijiniTehran

Mkutano wa Wanafunzi Vijana wa Qur’ani jijiniTehran

IQNA – Mnamo Septemba 7, 2025, Kituo cha Utamaduni wa Qur’ani kilichopo Tehran kilikuwa na mkutano ambapo wanafunzi vijana wa Qur’ani walikusanyika pamoja na walimu wao na qari maarufu wa Iran, Ahmad Abolghasemi, kusikiliza usomaji wa Qur’ani na kuboresha ufanisi wao.
14:04 , 2025 Sep 09
Wanasayansi kutoka India, Uturuki na Iran watunukiwa Tuzo ya Mustafa (SAW) ya Mwaka 2025

Wanasayansi kutoka India, Uturuki na Iran watunukiwa Tuzo ya Mustafa (SAW) ya Mwaka 2025

IQNA – Wanasayansi watatu mashuhuri ambao ni Mohammad K. Nazeeruddin kutoka India, Mehmet Toner kutoka Uturuki, na Vahab Mirrokni kutoka Iran wametangazwa kuwa washindi wa Tuzo ya Mustafa (SAW) ya mwaka 2025.
14:00 , 2025 Sep 09
Sherehe ya Kufunga ya Tuzo ya Mustafa ya Mwaka 2025

Sherehe ya Kufunga ya Tuzo ya Mustafa ya Mwaka 2025

IQNA – Sherehe ya kufunga ya toleo la mwaka 2025 la Tuzo ya Mustafa ilifanyika katika Ukumbi wa Vahdat mjini Tehran mnamo tarehe 8 Septemba, 2025.
13:47 , 2025 Sep 09
Mtaalamu wa Qur’ani apendekeza kuanzishwa kwa Muungano wa Kimataifa wa Kutetea Haki za Umma wa Kiislamu

Mtaalamu wa Qur’ani apendekeza kuanzishwa kwa Muungano wa Kimataifa wa Kutetea Haki za Umma wa Kiislamu

IQNA – Mtaalamu mstaafu wa Qur’ani kutoka Iran amependekeza kuundwa kwa muungano wa kimataifa wa wanazuoni wa Qur’ani ili kutetea kisheria haki za Umma wa Kiislamu.
13:43 , 2025 Sep 09
Sherehe ya Ufunguzi ya Mkutano wa Umoja wa Kiislamu wa Kimataifa huko Tehran

Sherehe ya Ufunguzi ya Mkutano wa Umoja wa Kiislamu wa Kimataifa huko Tehran

IQNA – Sherehe ya ufunguzi ya Mkutano wa 39 wa Umoja wa Kiislamu wa Kimataifa ilifanyika asubuhi ya Jumatatu, Septemba 8, 2025, katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano katika mji mkuu wa Irani, Tehran.
13:14 , 2025 Sep 09
Rais wa Iran atoa wito wa Umoja wa Kiislamu kukabiliana na mauaji ya Waislamu

Rais wa Iran atoa wito wa Umoja wa Kiislamu kukabiliana na mauaji ya Waislamu

IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametoa wito kwa mataifa ya Kiislamu kuondoa migawanyiko ya ndani na kusimama kwa umoja, akisema kuwa mshikamano wa kweli pekee ndio unaoweza kuwazuia maadui wasivunje haki za Waislamu.
16:14 , 2025 Sep 08
Ayatullah Makarem Shirazi: Ulimwengu wa Kiislamu unahitaji umoja zaidi ya wakati wowote ule

Ayatullah Makarem Shirazi: Ulimwengu wa Kiislamu unahitaji umoja zaidi ya wakati wowote ule

IQNA-Chanzo cha kuigwa kutoka Iran, Ayatullah Mkuu Nasser Makarem Shirazi, amesisitiza haja ya ulimwengu wa Kiislamu kurejea katika kanuni ya msingi ya umoja.
15:20 , 2025 Sep 08
Watangazaji wa Kipindi cha Mahfel washiriki maadhimisho ya Milad-un-Nabi Nchini Pakistan

Watangazaji wa Kipindi cha Mahfel washiriki maadhimisho ya Milad-un-Nabi Nchini Pakistan

IQNA – Wenyeji kadhaa wa kipindi maarufu cha Mahfel kutoka Iran walialikwa kushiriki katika maadhimisho makubwa na ya muhimu zaidi ya kila mwaka ya kukumbuka kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW) yaani Milad-un-Nabiinchini Pakistan.
15:10 , 2025 Sep 08
Qari wa Misri aibuka mshindi katika Mashindano ya Qur'ani ya Mataifa ya BRICS nchini Brazil

Qari wa Misri aibuka mshindi katika Mashindano ya Qur'ani ya Mataifa ya BRICS nchini Brazil

IQNA – Mwakilishi wa Misri ameibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya kimataifa ya usomaji wa Qur'ani ya mataifa ya BRICS yaliyofanyika nchini Brazil.
14:56 , 2025 Sep 08
Afisa wa Al-Azhar: Kusaidia Vituo vya Kuhifadhi Qur'ani ni wajibu wa kidini na kijamii

Afisa wa Al-Azhar: Kusaidia Vituo vya Kuhifadhi Qur'ani ni wajibu wa kidini na kijamii

IQNA – Naibu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri ameeleza kuwa kusaidia vituo vya kuhifadhi Qur'ani ni wajibu wa kidini na kijamii.
14:48 , 2025 Sep 08
1