IQNA

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Port Said Yafungua Usajili kwa Washiriki wa Kimataifa

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Port Said Yafungua Usajili kwa Washiriki wa Kimataifa

IQNA – Kamati Kuu ya Maandalizi ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an ya Port Said nchini Misri imetangaza kufunguliwa kwa usajili wa washiriki wa kimataifa kwa ajili ya toleo la tisa la mashindano hayo, litakalofanyika kwa heshima ya Qari maarufu Sheikh Mahmoud Ali Al-Banna.
21:40 , 2025 Oct 26
Hafla ya kufunga Mashindano ya Kitaifa ya Qur'an Iran

Hafla ya kufunga Mashindano ya Kitaifa ya Qur'an Iran

IQNA – Hafla ya kufunga awamu ya mwisho ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'an ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatarajiwa kufanyika, Oktoba 27, katika mji wa Sanandaj, mkoa wa Kordestan.
21:29 , 2025 Oct 26
Mkaligrafia wa Kiirani atumia Sanaa ya Qur'an kuimarisha Mahusiano ya Kimataifa

Mkaligrafia wa Kiirani atumia Sanaa ya Qur'an kuimarisha Mahusiano ya Kimataifa

IQNA – Mkaligrafia wa Kiirani, Bi Tandis Taghavi, amesema kuwa anatumia sanaa ya kuandika Qur'an Tukufu kama njia ya kuwasilisha mafundisho ya dini na kuimarisha uhusiano wa kitamaduni baina ya mataifa, katika maonesho ya hivi karibuni ya Iran na Korea Kusini.
21:18 , 2025 Oct 26
Mfungwa wa Kipalestina aliyeachiliwa azungumzia udhalilishaji wa Qur'an katika Magereza ya Israel

Mfungwa wa Kipalestina aliyeachiliwa azungumzia udhalilishaji wa Qur'an katika Magereza ya Israel

IQNA – Mfungwa wa Kipalestina aliyeachiliwa kutoka gereza la utawala wa Kizayuni ameeleza mateso makali na hali isiyo ya kibinadamu inayowakumba wafungwa wa Kiislamu, ikiwemo udhalilishaji wa Qur'an Tukufu na kuzuia adhana na sala za jamaa.
21:11 , 2025 Oct 26
Mgombea wa umeya wa Jiji la New York, Mamdani, akabiliana hujuma za chuki dhidi ya dini yake ya Kiislamu

Mgombea wa umeya wa Jiji la New York, Mamdani, akabiliana hujuma za chuki dhidi ya dini yake ya Kiislamu

IQNA – Katika kipindi cha kuelekea kuanza kwa upigaji kura wa mapema, mgombea wa umeya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, ametetea imani yake ya Kiislamu huku akilaani “mashambulizi ya kibaguzi na yasiyo na msingi” kutoka kwa wapinzani wake, akionya kuwa chuki hizo dhidi ya Uislamu hazimlengi yeye tu bali pia takribani Waislamu milioni moja wanaoishi jijini humo.
09:31 , 2025 Oct 26
Kikao cha Kujikurubisha na Qur’ani  Katika Msikiti wa Quba, Sanandaj, Iran

Kikao cha Kujikurubisha na Qur’ani Katika Msikiti wa Quba, Sanandaj, Iran

IQNA- Katika tukio la kiroho lililojumuisha usomaji wa Qur’ani kimefanyika katika Msikiti Mkuu wa Quba, eneo la Baharan, Sanandaj nchini Iran.
16:13 , 2025 Oct 25
Misingi ya Ushirikiano Katika Qur’ani Tukufu

Misingi ya Ushirikiano Katika Qur’ani Tukufu

IQNA – Kwa mujibu wa mtazamo wa Kiislamu, binadamu wote ni waja wa Mwenyezi Mungu, na mali yote ni ya Mwenyezi Mungu. Hivyo basi, mahitaji ya wale wasiojiweza yanapaswa kutimizwa kupitia ushirikiano wa kijamii.
15:48 , 2025 Oct 25
Usajili Wafunguliwa kwa Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu Algeria

Usajili Wafunguliwa kwa Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu Algeria

IQNA – Usajili umefunguliwa rasmi kwa toleo la 21 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu nchini Algeria, mojawapo ya mashindano yenye heshima kubwa katika kanda ya Afrika Kaskazini.
15:29 , 2025 Oct 25
Maandishi ya Kale Yaliyofichwa Katika Hazina za Kihistoria za Tunisia

Maandishi ya Kale Yaliyofichwa Katika Hazina za Kihistoria za Tunisia

IQNA – Maktaba mbalimbali nchini Tunisia, zikiwemo zile za vyuo vikuu vya Zaytouna na Kairouan pamoja na maktaba binafsi, zimehifadhi maelfu ya maandishi ya kale yaliyojumuishwa kutokana na karne nyingi za juhudi za kielimu.
15:19 , 2025 Oct 25
Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu kwa Wanawake Yaendelea Sanandaj, Iran

Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu kwa Wanawake Yaendelea Sanandaj, Iran

IQNA – Washiriki wa kitengo cha wanawake katika Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran waliendelea kuonesha umahiri wao siku ya tatu ya mashindano hayo, wakishindania nafasi za juu.
14:41 , 2025 Oct 25
Tishio la Bomu Laisimamisha Shughuli za Msikiti wa Kilbirnie Nchini New Zealand

Tishio la Bomu Laisimamisha Shughuli za Msikiti wa Kilbirnie Nchini New Zealand

IQNA – Polisi nchini New Zealand wanafanya uchunguzi kuhusu tishio la bomu lililolenga Msikiti wa Kilbirnie uliopo Wellington, hali iliyosababisha kusitishwa kwa shughuli zote za msikiti huo kwa muda.
14:38 , 2025 Oct 25
Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani Australia: Jukwaa la Kuwaenzi Wanafunzi na Wahudumu wa Qur’ani

Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani Australia: Jukwaa la Kuwaenzi Wanafunzi na Wahudumu wa Qur’ani

IQNA – Kwa kuboresha mazingira ya upangaji na uamuzi, na kuongeza ushiriki wa washiriki wenye hamasa, mashindano ya kuhifadhi Qur’ani ya Australia yamegeuka kuwa mfano bora wa kuimarisha utambulisho wa vijana Waislamu nchini humo.
14:56 , 2025 Oct 24
Waziri wa Awqaf wa Misri ampongeza Qari mwandamizi kwa kuenziwa Moscow

Waziri wa Awqaf wa Misri ampongeza Qari mwandamizi kwa kuenziwa Moscow

IQNA – Waziri wa Mambo ya Waqf wa Misri ametoa pongezi zake kwa kuenziwa hivi karibuni kwa Qari maarufu Sheikh Abdul Fattah Taruti wakati wa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yaliyofanyika mjini Moscow, Russia
14:52 , 2025 Oct 24
Ayatullah Khamenei amtaja Allamah Naeini kuwa Nguzo ya Kielimu katika Chuo cha Kale cha Najaf

Ayatullah Khamenei amtaja Allamah Naeini kuwa Nguzo ya Kielimu katika Chuo cha Kale cha Najaf

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amemtaja Allamah Mirza Muhammad Hussain Naeini (Rehmatullah alayh) kama mmoja wa nguzo mashuhuri zaidi za kielimu na kiroho katika Hawza (Chuo kikuu cha Kiislamu) ya kale ya Najaf, Iraq.
14:48 , 2025 Oct 24
Idara ya Mkoa wa Al-Quds Yaonya: Uchimbaji unaofanywa na Israel unavuruga misingi ya Msikiti wa Al-Aqsa

Idara ya Mkoa wa Al-Quds Yaonya: Uchimbaji unaofanywa na Israel unavuruga misingi ya Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Mamlaka za Palestina zimeonya kuwa shughuli za uchimbaji zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel karibu na Msikiti wa Al-Aqsa na katika Mji wa Kale wa Al-Quds (Jerusalem) zinaweza kuhatarisha uimara wa msikiti huo mtukufu.
14:39 , 2025 Oct 24
1