IQNA

Moto katika Msikiti wa Minneapolis Marekani wazua hofu miongoni mwa Waislamu licha ya taarifa ya ‘Ajali’

Moto katika Msikiti wa Minneapolis Marekani wazua hofu miongoni mwa Waislamu licha ya taarifa ya ‘Ajali’

IQNA – Tukio la moto katika Msikiti wa Kituo cha Kiislamu Alhikma, ulioko Mtaa wa 32 kusini mwa Minneapolis, limezua wasiwasi mkubwa miongoni mwa viongozi wa Kiislamu, ambao sasa wanatoa wito wa uchunguzi wa kina, licha ya mamlaka za zimamoto kusema kuwa tukio hilo lilikuwa la bahati mbaya.
17:45 , 2025 Oct 01
Kuwait: Mtu akamatwa kwa njama ya kushambulia maeneo ya ibada

Kuwait: Mtu akamatwa kwa njama ya kushambulia maeneo ya ibada

IQNA – Vikosi vya Usalama wa Taifa nchini Kuwait vimekamata raia wa Kiarabu aliyehusishwa na kikundi kilichopigwa marufuku, kwa tuhuma za kupanga shambulizi dhidi ya maeneo ya ibada, maafisa wamesema.
17:11 , 2025 Sep 30
Mkutano Tehran wajadili mpango wa kuwafundisha watu Milioni 10 kuhifadhi Qur’ani Tukufu

Mkutano Tehran wajadili mpango wa kuwafundisha watu Milioni 10 kuhifadhi Qur’ani Tukufu

IQNA – Mkutano maalum umefanyika mjini Tehran kujadili ‘Mpango wa Kiutendaji na Ramani ya Njia ya Kuwafundisha Waislamu Milioni 10 Kuhifadhi Qur’ani’.
17:01 , 2025 Sep 30
Haram Takatifu ya Qom kuandaa hafla ya kumbukumbu ya kifo cha viongozi wa Hizbullah

Haram Takatifu ya Qom kuandaa hafla ya kumbukumbu ya kifo cha viongozi wa Hizbullah

IQNA – Hafla maalum ya kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa viongozi wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imepangwa kufanyika wiki hii katika haram tukufu ya Hazrat Masoumeh (SA) huko Qom.
16:52 , 2025 Sep 30
Viongozi wa Iran na Masheikh wa Vyuo vya Kiislamu watoa rambirambi kwa Ayatullah Sistani

Viongozi wa Iran na Masheikh wa Vyuo vya Kiislamu watoa rambirambi kwa Ayatullah Sistani

IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ametuma ujumbe wa rambirambi kwa kiongozi mkuu wa Kishia nchini Iraq, Ayatullah Ali al-Sistani, kufuatia kifo cha mke wake mpendwa.
16:40 , 2025 Sep 30
Mafundisho ya Qur’ani yadhihirika kwa kina katika Mashairi ya Rumi, asema mwanazuoni

Mafundisho ya Qur’ani yadhihirika kwa kina katika Mashairi ya Rumi, asema mwanazuoni

IQNA – Mwanazuoni kutoka Iran, Karim Zamani, asema kazi za Rumi, hasa Masnavi, zinaakisi kwa kina mafundisho ya Qur’ani Tukufu, kuanzia misingi ya itikadi hadi mtindo wa simulizi.
16:37 , 2025 Sep 30
Saudia Kuanzisha Makumbusho ya Kudumu Kuhusu Hija na Misikiti Miwili Mitukufu

Saudia Kuanzisha Makumbusho ya Kudumu Kuhusu Hija na Misikiti Miwili Mitukufu

IQNA – Mamlaka za Ufalme wa Saudi Arabia zimetangaza mpango wa kuanzisha makumbusho ya kudumu yatakayohifadhi historia ya Hija na Misikiti Miwili Mitukufu ya Kiislamu.
15:32 , 2025 Sep 29
Katika Picha: Mazishi ya Mke wa Ayatullah Sistani Yafanyika Karbala

Katika Picha: Mazishi ya Mke wa Ayatullah Sistani Yafanyika Karbala

IQNA – Shughuli ya mazishi ilifanyika siku ya Jumatatu, tarehe 29 Septemba 2025, katika mji mtukufu wa Karbala kwa ajili ya mke wa kiongozi mkuu wa Kishia nchini Iraq, Ayatullah Mkuu Ali al-Sistani. Mwanamke huyo mcha Mungu alifariki dunia siku ya Jumapili, tarehe 28 Septemba 2025, katika mji mtukufu wa Najaf.
15:15 , 2025 Sep 29
Qatar kuandaa mikutano ya kimataifa kuhusu Qur'ani na Fikra za Kiislamu

Qatar kuandaa mikutano ya kimataifa kuhusu Qur'ani na Fikra za Kiislamu

IQNA – Wizara ya Wakfu na Mambo ya Kiislamu ya Qatar, kwa ushirikiano na Chuo Kikuu cha Qatar, imepanga kuandaa mikutano miwili ya kimataifa mapema mwezi Oktoba 2025.
15:13 , 2025 Sep 29
Taasis ya Kiirani ya Qurani yatoa zaidi ya vyeti 1,000 vya kuhifadhi Qur'ani ndani ya miezi sita

Taasis ya Kiirani ya Qurani yatoa zaidi ya vyeti 1,000 vya kuhifadhi Qur'ani ndani ya miezi sita

IQNA – Taasisi ya Mahd Qur'ani ya Iran imetoa vyeti 1,004 kwa wanafunzi waliokamilisha kuhifadhi sura za Qur'ani Tukufu na kuelewa maana ya aya zake katika kipindi cha miezi sita ya mwanzo ya mwaka wa sasa wa kalenda ya Kiirani (ulioanza Machi 21).
15:08 , 2025 Sep 29
Pendekezo la ‘Fainali ya Mabingwa’ kwa Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani

Pendekezo la ‘Fainali ya Mabingwa’ kwa Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani

IQNA – Ahmad Abolqassemi, Qari mashuhuri kutoka Iran, amesisitiza uwezo wa kipekee wa nchi hiyo katika uwanja wa usomaji wa Qur’ani Tukufu, akipendekeza kuandaliwa mashindano mapya ya kipekee ya “fainali ya mabingwa” kwa washindi wa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani, yatakayofanyika nchini Iran.
13:01 , 2025 Sep 29
Mashindano ya 13 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Libya yamalizika

Mashindano ya 13 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Libya yamalizika

IQNA – Libya imetangaza washindi wa Tuzo ya 13 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu, iliyofikia tamati mjini Benghazi kwa ushiriki wa zaidi ya mataifa 70.
12:42 , 2025 Sep 29
Qom kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Qur’ani ya Kitaifa ya Iran ya ‘Zayin al-Aswat’

Qom kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Qur’ani ya Kitaifa ya Iran ya ‘Zayin al-Aswat’

IQNA – Toleo la kwanza la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani ya Iran ya “Zayin al-Aswat” (mapambo ya sauti) linatarajiwa kufanyika katika mji mtakatifu wa Qom, likijumuisha makundi matatu kuu, waandaaji walitangaza.
15:45 , 2025 Sep 28
‘Baba wa Maqari’: Al-Azhar Yamuenzi Sheikh Mohammed al-Sayfi

‘Baba wa Maqari’: Al-Azhar Yamuenzi Sheikh Mohammed al-Sayfi

IQNA – Katika kumbukumbu ya kifo chake, Kituo cha Fatwa cha Kimataifa cha Al-Azhar kimemuenzi Sheikh Mohammed al-Sayfi, akimtaja mtaalamu na msomi wa Misri aliyeaga dunia kama "Baba wa qaris" na ishara endelevu ya usomaji wa Qur’ani wa asili.
15:30 , 2025 Sep 28
‘Quds; Mji Mkuu wa Palestina’ Kauli Mbiu ya Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Amman

‘Quds; Mji Mkuu wa Palestina’ Kauli Mbiu ya Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Amman

IQNA – Maonyesho ya 24 ya Kimataifa ya Vitabu ya Amman 2025 yalifunguliwa Alhamisi, Septemba 25, katika Kituo cha Maonyesho cha Kimataifa cha Jordan, kwa kauli mbiu ya ‘Quds; Mji Mkuu wa Palestina’.
13:44 , 2025 Sep 28
8