IQNA

Qari wa Palestina auawa shahidi katika shambulizi la anga la Israel Gaza

Qari wa Palestina auawa shahidi katika shambulizi la anga la Israel Gaza

IQNA – Msomaji wa Qur’ani wa Palestina na mwimbaji wa kaswida za Kiislamu amekufa shahidi katika shambulizi la hivi karibuni la anga lililofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza.
17:33 , 2025 Jul 16
Misri yachukua hatua kudhibiti utoaji wa Fatwa kupitia sheria mpya

Misri yachukua hatua kudhibiti utoaji wa Fatwa kupitia sheria mpya

IQNA – Misri imeingia katika awamu mpya ya kudhibiti machafuko yanayohusiana na utoaji wa Fatwa (hukumu ya kidini), kwa kuandaa sheria mpya ya kuusimamia mchakato huo, kwa mujibu wa Ismail Duwaidar, mkuu wa Redio ya Qur’ani ya taifa hilo.
17:29 , 2025 Jul 16
Warsha ya mtadanoni kujadili jinsi Iran ilivyojibu uchokozi wa Israel

Warsha ya mtadanoni kujadili jinsi Iran ilivyojibu uchokozi wa Israel

IQNA – Shirika la Kimataifa la Habari za Qur’ani limeandaa warsha ya kimtandaoni (webinar) ya kimataifa iitwayo "Hadhi na Nguvu ya Iran; Ujumbe Zaidi ya Makombora" itakayofanyika mwishoni mwa wiki hii.
17:19 , 2025 Jul 16
Kisomo cha Mbinguni:  Kipande Cha Kuvutia kutoka kwa Tilawa ya Qur’ani ya Hamed Shakernejad

Kisomo cha Mbinguni: Kipande Cha Kuvutia kutoka kwa Tilawa ya Qur’ani ya Hamed Shakernejad

IQNA- Usomaji wa Qur’ani Tukufu kwa kweli ni sauti mbinguni, ambapo kila aya ina thawabu kubwa kwa mwenye kuisoma, na kusikiliza kwake huleta faraja kwa nyoyo.
20:50 , 2025 Jul 15
Usomaji wa Aya za Surah al-Fath kwa Tartili na Qari Kutoka Ivory Coast

Usomaji wa Aya za Surah al-Fath kwa Tartili na Qari Kutoka Ivory Coast

IQNA – Baladi Omar, qari mashuhuri wa Qur’ani kutoka nchi ya Ivory Coast ya Afrika Magharibi, ameshiriki katika kampeni ya Qur’ani ya “Fath” kwa kusoma aya nne za mwanzo kutoka Surah al-Fath kwa tartili.
20:41 , 2025 Jul 15
Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Qur’ani Malaysia kufanyika Agosti 2, kuhudhuriwa na nchi 50

Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Qur’ani Malaysia kufanyika Agosti 2, kuhudhuriwa na nchi 50

IQNA – Toleo la 65 la Mashindano ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur’ani Malaysia (MTHQA) litazinduliwa tarehe 2 Agosti katika Kituo cha Biashara cha Dunia Kuala Lumpur (WTCKL).
20:36 , 2025 Jul 15
Karbala yaandaa maonesho kaligrafia ya Kiarabu kuhusu Mapinduzi ya Imam Hussein (AS)

Karbala yaandaa maonesho kaligrafia ya Kiarabu kuhusu Mapinduzi ya Imam Hussein (AS)

IQNA – Maonesho ya kaligrafia ya maandishi ya Kiarabu ya siku tatu yaliyopewa jina "Katika Njia ya Ashura" yamefunguliwa katika eneo tukufu la Bayn al-Haramayn—kati ya makaburi ya Imam Hussein (AS) na Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq.
20:32 , 2025 Jul 15
Vituo 14 kuwahudumia Watoto katika mafunzo ya asubuhi ya Qur'ani majira ya kiangazi nchini Qatar

Vituo 14 kuwahudumia Watoto katika mafunzo ya asubuhi ya Qur'ani majira ya kiangazi nchini Qatar

IQNA – Mafunzo ya Qur'ani ya asubuhi wakati wa kiangazi yanatarajiwa kufanyika katika vituo 14 vya Qur'ani kote nchini Qatar kuanzia Jumapili.
20:27 , 2025 Jul 15
Misri yazindua Mashindano ya Kwanza ya Kitaifa Mtandaoni ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani

Misri yazindua Mashindano ya Kwanza ya Kitaifa Mtandaoni ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani

IQNA – Wizara ya Awqaf ya Misri imetangaza kuzindua mashindano ya kwanza ya kitaifa ya mtandaoni ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu nchini humo.
20:22 , 2025 Jul 15
Jua laambatana na Al-Kaaba, likiwapa Waislamu duniani fursa ya kupata mwelekeo Sahihi wa Qibla

Jua laambatana na Al-Kaaba, likiwapa Waislamu duniani fursa ya kupata mwelekeo Sahihi wa Qibla

IQNA – Jumanne, tarehe 15 Julai 2025, jua limeonekana moja kwa moja juu ya Al-Kaaba huko Makka, hali itakayowawezesha Waislamu kote duniani kuthibitisha mwelekeo wa Qibla kwa usahihi mkubwa.
19:22 , 2025 Jul 15
Iran kuandaa matukio ya kitaifa na kimataifa kuadhimisha miaka 1500 ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW)

Iran kuandaa matukio ya kitaifa na kimataifa kuadhimisha miaka 1500 ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW)

IQNA – Mamlaka ya Iran imetangaza kuwa mfululizo wa matukio ya kitaifa na ya kimataifa yatafanyika kwa ajili ya kuadhimisha miaka 1500 tangu kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (Rehema na Amani Zimshukie Yeye na Watu wa Nyumba Yake).
17:48 , 2025 Jul 14
Algeria yaanzisha msafara wa kitaifa wa kisomo cha Qur’an Tukufu

Algeria yaanzisha msafara wa kitaifa wa kisomo cha Qur’an Tukufu

IQNA – Mpango wa kitaifa wa usomaji wa Qur’ani Tukufu umeanzishwa rasmi nchini Algeria, ukilenga kusambaza shughuli za Qur’ani katika misikiti mbalimbali ya Mkoa wa Mascara.
17:37 , 2025 Jul 14
Mji wa Karasu nchini Uturuki wawaenzi wasichana 34 waliohifadhi Qur’an Tukufu

Mji wa Karasu nchini Uturuki wawaenzi wasichana 34 waliohifadhi Qur’an Tukufu

IQNA – Hafla maalum imefanyika katika mji wa Karasu, ulioko kaskazini magharibi mwa Uturuki katika mkoa wa Sakarya, kuwaenzi wasichana 34 waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani yote kwa moyo.
17:28 , 2025 Jul 14
Madrasa ya Al-Azhar imeandaa kikao kuhusu Upepo Katika Qur’an Tukufu

Madrasa ya Al-Azhar imeandaa kikao kuhusu Upepo Katika Qur’an Tukufu

IQNA – Semina maalum kuhusu "Vipengele vya Miujiza ya Kisayansi katika Qur’an Tukufu Kuhusiana na Upepo" inatarajiwa kufanyika leo katika Msikiti mkuu wa Al-Azhar, nchini Misri.
17:24 , 2025 Jul 14
Matembezi ya Arbaeen yaanza rasmi kusini mwa Iraq, kutoka Ras al-Bisheh hadi Karbala

Matembezi ya Arbaeen yaanza rasmi kusini mwa Iraq, kutoka Ras al-Bisheh hadi Karbala

IQNA – Hijra ya Arbaeen ya mwaka 1447 Hijria imeanza rasmi, huku maelfu ya mahujaji wakiianza safari yao kwa miguu kutoka eneo la Ras al-Bisheh, lililoko kusini kabisa mwa Iraq katika mkoa wa Al-Faw, wakielekea mji mtakatifu wa Karbala.
17:18 , 2025 Jul 14
2