IQNA – Shirika la Chakula Duniani la Umoja wa Mataifa (WFP) limesema kuwa kiwango cha chakula kinachoingia Gaza bado kiko chini sana ya lengo la tani 2,000 kwa siku, likitoa wito kwa utawala wa Kizayuni kufungua vituo zaidi vya mipakani.
17:00 , 2025 Oct 22