IQNA

Sheikh Saleh Al-Fawzan Ateuliwa Mufti Mkuu Mpya wa Saudi Arabia

Sheikh Saleh Al-Fawzan Ateuliwa Mufti Mkuu Mpya wa Saudi Arabia

IQNA – Mwanazuoni mwenye msimamo wa kihafidhina na aliye katika miaka ya tisini ameteuliwa kuwa kiongozi mkuu wa kidini au Mufti Mkuu nchini Saudi Arabia, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya serikali.
16:55 , 2025 Oct 23
Ufilipino Yazindua ‘Muslim Travelogue’ Kuimarisha Sekta ya Utalii  'Halal'

Ufilipino Yazindua ‘Muslim Travelogue’ Kuimarisha Sekta ya Utalii 'Halal'

IQNA – Serikali ya Ufilipino imezindua mpango mpya wa kukuza nafasi ya taifa hilo la Kusini Mashariki mwa Asia katika soko la kimataifa la utalii 'Halal', linalokua kwa kasi.
16:49 , 2025 Oct 23
Tafsiri ya Qur'an Iliyoandikwa Kwa Mkono na Marehemu Ahmed Omar Hashem Yazinduliwa Rasmi Nchini Misri

Tafsiri ya Qur'an Iliyoandikwa Kwa Mkono na Marehemu Ahmed Omar Hashem Yazinduliwa Rasmi Nchini Misri

IQNA – Katika tukio la kihistoria lililopeperushwa kupitia kipindi cha televisheni cha Ahl Masr nchini Misri, tafsiri ya Qur'ani Tukufu iliyoandikwa kwa mkono na mwanazuoni mashuhuri wa Al-Azhar, marehemu Sheikh Ahmed Omar Hashem, imewasilishwa kwa mara ya kwanza hadharani. Kazi hiyo ya miaka kumi imekamilika kabla ya kifo chake mapema mwezi huu.
16:39 , 2025 Oct 23
Norway Yazindua Tovuti ya Kitaifa Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu

Norway Yazindua Tovuti ya Kitaifa Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu

IQNA – Mtandao wa Mazungumzo ya Kiislamu nchini Norway (Islamic Dialogue Network) umezindua tovuti ya kwanza ya kitaifa ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), iitwayo stoppmuslimhat.no.
16:33 , 2025 Oct 23
Uingereza yatakiwa kufafanua maana ya 'Chuki Dhidi ya Uislamu' (Islamophobia)

Uingereza yatakiwa kufafanua maana ya 'Chuki Dhidi ya Uislamu' (Islamophobia)

IQNA- Kufuatia ongezeko kubwa la uhalifu wa chuki dhidi ya Waislamu nchini Uingereza, serikali inatarajiwa kutangaza ufafanuzi mpya wa neno “'Chuki Dhidi ya Uislamu' (Islamophobia)”—ambapo huenda likabadilishwa na kuwa “chuki dhidi ya Waislamu.”
16:21 , 2025 Oct 23
WFP: Ugavi wa chakula Gaza haujafikia wanaohitaji zaidi

WFP: Ugavi wa chakula Gaza haujafikia wanaohitaji zaidi

IQNA – Shirika la Chakula Duniani la Umoja wa Mataifa (WFP) limesema kuwa kiwango cha chakula kinachoingia Gaza bado kiko chini sana ya lengo la tani 2,000 kwa siku, likitoa wito kwa utawala wa Kizayuni kufungua vituo zaidi vya mipakani.
17:00 , 2025 Oct 22
Msomi: Mitazamo ya uadui yenyewe yathibitisha Muujiza wa Qur’ani

Msomi: Mitazamo ya uadui yenyewe yathibitisha Muujiza wa Qur’ani

IQNA – Kutoweza kwa wakosoaji kuleta kilicho sawa na Qur’ani ni ushahidi wa muujiza wake, amesema profesa wa chuo kikuu nchini Iran, akiongeza kuwa hata mitazamo ya uadui imechochea utafiti wa kina kuhusu Qur'ani Tukufu.
16:50 , 2025 Oct 22
Wahifadhi Qur’ani 318 Wakabidhiwa Vyeti Katika Hafla ya Istanbul

Wahifadhi Qur’ani 318 Wakabidhiwa Vyeti Katika Hafla ya Istanbul

IQNA – Hafla ya kukabidhi vyeti kwa wahifadhi wa Qur’ani 318 na wanafunzi wa masomo ya Kiislamu imefanyika katika Msikiti wa Yavuz Sultan Selim mjini Istanbul.
16:38 , 2025 Oct 22
Mpango wa Kitaifa wa Qur’ani Iran “Aya za Kuishi Nazo” Watarajiwa Kuwafikia Mamilioni

Mpango wa Kitaifa wa Qur’ani Iran “Aya za Kuishi Nazo” Watarajiwa Kuwafikia Mamilioni

IQNA – Afisa mwandamizi wa masuala ya Qur’ani amesema kuwa kampeni ya “Aya za Kuishi Nazo” imekua na kuvuka mipaka ya mpango wa kitamaduni, na sasa imegeuka kuwa harakati ya kitaifa kote Iran.
16:24 , 2025 Oct 22
Picha: Hafla ya Kufunga Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Moscow 2025

Picha: Hafla ya Kufunga Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Moscow 2025

Hafla ya Kufunga Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Moscow 2025 ilifanyika tarehe 18 Oktoba 2025 katika ukumbi wa Cosmos , jijini Moscow ikihudhuriwa na washiriki kutoka nchi mbalimbali, viongozi wa kidini, na wageni wa heshima.
16:02 , 2025 Oct 22
Ansarullah iko tayari kurejea kwa nguvu zaidi katika uwanja wa mapambano dhidi ya adui

Ansarullah iko tayari kurejea kwa nguvu zaidi katika uwanja wa mapambano dhidi ya adui

IQNA-Kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen amesisitiza katika hotuba yake kuwa, iwapo makubaliano ya kusitisha vita huko Gaza yatakiukwa, wananchi wa Yemen wako tayari kurejea kwa nguvu zaidi katika mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni.
10:51 , 2025 Oct 22
Misingi ya Nadharia ya Ushirikiano na Usalama wa Kijamii

Misingi ya Nadharia ya Ushirikiano na Usalama wa Kijamii

IQNA – Ushirikiano na usalama wa kijamii kwa wale waliotengwa na wahitaji ni miongoni mwa masharti muhimu ya mwenendo wa waumini, kwa mujibu wa aya za Qur’ani Tukufu na Hadithi za Ahlul-Bayt (AS).
17:38 , 2025 Oct 21
Kongamano la Kwanza la Kimataifa la “Qur’an ya Negel” Lafanyika Sanandaj

Kongamano la Kwanza la Kimataifa la “Qur’an ya Negel” Lafanyika Sanandaj

IQNA – Kongamano la kwanza la kimataifa la “Qur’an ya Negel” limefanyika mjini Sanandaj siku ya Jumatatu, likiwakutanisha makari na wahifadhi wa Qur’an wanaozungumza Kikurdi kutoka Iran, Uturuki na Iraq.
17:34 , 2025 Oct 21
Harakati ya Jihad ya Kiislamu Yakataa Masharti ya Kupkonywa Silaha

Harakati ya Jihad ya Kiislamu Yakataa Masharti ya Kupkonywa Silaha

IQNA – Mwakilishi wa harakati ya Jihad ya Kiislamu (Jihad Islami) ya Palestina nchini Iran amesema kuwa mapambano ya ukombozi hayataisha kwa kumalizika kwa vita vya Gaza, akipinga vikali mazungumzo yanayohusu kuvunjwa silaha kwa harakati za upinzani wa Kipalestina.
17:29 , 2025 Oct 21
Msikiti Mpya Uliojengwa kwa Mchango wa Waislamu wa Nigeria Wafunguliwa Canada

Msikiti Mpya Uliojengwa kwa Mchango wa Waislamu wa Nigeria Wafunguliwa Canada

IQNA – Jumuiya ya Waislamu wa jiji la Winnipeg, mji mkuu wa jimbo la Manitoba nchini Kanada (Canada), walikusanyika mwishoni mwa wiki hii kusherehekea ufunguzi rasmi wa msikiti mpya katika jiji hilo.
17:24 , 2025 Oct 21
2