iqna

IQNA

pegida
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Meya wa mji wa Arnhem nchini Uholanzi Ahmed Marcouch aliwataka wanasiasa wa kitaifa kuharamisha vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu, huku akisema vitendo hivyo ni "vya sumu vinavyowakera wengine".
Habari ID: 3478255    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/26

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Polisi wameshambulia waandamanaji waliokuwa wanapinga mpango wa kuteketeza moto nakala ya Qur’ani Tukufu, mpango ambao ulikuwau umepangwa na mkuu wa vuguvugu la kupinga Uislamu la PEGIDA, Edwin Wagensveld, katika mji wa Arnhem nchini Uholanzi.
Habari ID: 3478195    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/14

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Baada ya kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu nchini Uswidi mwishoni mwa juma, kulikuwa na kitendo kingine cha kufuru kilichotekelezwa na mmoja wa vinara wa harakati za chuki dhidi ya Uislamu Ulaya, wakati huu nchini Uholanzi.
Habari ID: 3476456    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/24