iqna

IQNA

cair
TEHRAN (IQNA)- Kundi la utetezi wa Waislamu nchini Marekani limeishtaki Idara ya Upelelezi, FBI, katika jaribio la kukomesha utumizi wa orodha ya siri ambayo aghalabu inalenga Waislamu pekee kwa uchunguzi wanaposafiri kwa ndege.
Habari ID: 3477622    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/19

Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Meya wa chama cha Democratic kutoka New Jersey ambaye ni Muislamu na alizuiwa kuingia Ikulu wa White House mapema mwaka huu anapanga kuishtaki serikali ya Marekani.
Habari ID: 3477612    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/17

Uchambuzi
TEHRAN (IQNA)- Miaka 22 imepita tangu baada ya mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11, 2001 katika miji ya New York na Washington, tukio ambalo liliathiri sio Marekani pekee, bali karibu dunia nzima.
Habari ID: 3477585    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/11

Chuki Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Baraza la Mahusiano ya Marekani na Kiislamu (CAIR) limelaani maandamano ya vikundi vya Wanazi mamboleo huko Florida.
Habari ID: 3477549    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/05

Chuki dhidi ya Waislamu
WASHINGTON, DC (IQNA) - Baraza la Mahusiano ya Marekani na Kiislamu (CAIR) limelaani uamuzi wa serikali ya Ufaransa wa kupiga marufuku wanafunzi Waislamu kuvaa Abaya.
Habari ID: 3477513    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/29

Waislamu Marekani
WASHINGTON, DC (IQNA) - Utafiti wa matatizo yanayowasibu Waislamu wa Marekani umezinduliwa na Baraza la Mahusiano ya Kiislamu na Marekani (CAIR).
Habari ID: 3477488    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24

Waislamu Marekani
WASHIGNTON, DC (IQNA) - Mwanamume mmoja ameshtakiwa kwa uhalifu wa chuki baada ya kushambulia kundi la Waislamu katika bustani moja huko California, Marekani siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3477416    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/11

Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia)
WASHINGTON, DC (IQNA)-Msikiti huko Portales, New Mexico, nchini Marekani umeharibiwa kwa mara ya nne katika kipindi cha siku 10 huku polisi wakipuuza hawajazingatia mashambulio hayo yanayorudiwa, ambayo ni pamoja na kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3477249    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/07

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) – Mameya kumi na sita katika jimbo la New Jersey walionyesha kumuunga mkono Meya Muislamu Mohamed Khairullah, ambaye hakualikwa kwenye dhifa ya Idul Fitr iliyoandaliwa na Rais wa Marekani Joe Biden katika Ikulu ya White House mapema mwezi huu.
Habari ID: 3477023    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/20

TEHRAN (IQNA) - Uharibifu uliharibu milango ya msikiti huko St Paul, ni tukio la hivi karibuni la mashambulio mengi dhidi ya maeneo ya ibada ya Waislamu katika wiki za hivi karibuni katika eneo a Twin Cities nchini Marekani.
Habari ID: 3476992    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/12

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Chuki dhidi ya Uislamu imeongezeka mara tatu Marekani tokea hujuma za Septemba11 mwaka 2001 huku wanasiasa wakiitumia wakitumia chuki hiyo kuendeleza ajenda zao wenyewe, shirika la haki za kiraia la kutetea haki za Waislamu Marekani linasema.
Habari ID: 3476971    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/07

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) – Jiji la Minneapolis limekuwa jiji la kwanza kubwa la Marekani kuruhusu utangazaji bila vikwazo wa wito wa Waislamu wa Sala yaani Adhana kwa sauti inayosikika nje ya msikiti mara tano kwa siku mwaka mzima.
Habari ID: 3476872    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/15

TEHRAN (IQNA) - Baraza la Mahusiano ya Marekani na Uislamu (CAIR) lilitoa ripoti Jumanne iliyoangazia matukio ya kitaifa ya malalamiko ya haki za kiraia yaliyofanywa na Waislamu Wamarekani mwaka 2022 ambayo yalionyesha kupungua kwa 23%.
Habari ID: 3476861    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/13

Chuki dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Kesi imewasilishwa katika jimbo la Missouri nchini Marekani baada ya wanaume Waislamu waliokuwa wakisali pamoja kwenye chumba chao kwenye gereza kumwagiwa dawa ya pilipili na kushambuliwa na maafisa wa gereza
Habari ID: 3476658    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/04

Chuki dhidi ya Uislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) –Mhalifu anayeaminika kuwa mwenye chuki dhidi ya Uislamu amehujumu Kituo cha Kiislamu cha Tracy na Msikiti wa Tracy katika jimbo la California la Marekani mkesha wa mwaka mpya.
Habari ID: 3476361    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/05

Uislamu Marekani
TEHRAN (IQNA)- Bilionea wa Kimarekani, Elon Musk, ambaye ni mmiliki wa mtandao wa kijamii wa Twitter, amewakasirisha Waislamu nchini Marekani baada ya kuchapisha picha kwenye akaunti yake ya Twitter, ikiwa na idadi ya alama za fikra na itikadi anazodai zinalenga "kupindua na kuharibu fikra na akili za watu."
Habari ID: 3476345    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/02

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) – Kulingana na ripoti, wagombea Waislamu wa Marekani wamepata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa katikati ya muhula Jumanne uliofanyika katika ngazi za bunge la kitaifa, majimbo na mitaa.
Habari ID: 3476073    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/11

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) –Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) linawataka polisi nchini humo kuimarisha doria zaidi baada ya shambulio dhidi ya msikiti.
Habari ID: 3475756    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/09

Ubaguzi Marekani
TEHRAN (IQNA) - Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) lilisema Waislamu wa Marekani wanaunga mkono wale wote wanaopinga ubaguzi wa rangi unaolenga watu wenye asili ya Afrika, chuki dhidi ya wageni, chuki dhidi Uislamu na itikadi kuwa wazungu ndio watu bora zaidi.
Habari ID: 3475721    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) linataka Idara ya Upelelezi Marekani (FBI) ichunguze tukio la jinai la uteketezaji moto wa msikiti wa East Grand Forks huko Minnesota mapema mwezi huu.
Habari ID: 3475391    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/18