iqna

IQNA

khamenei
Kiongozi Muadhamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: 'Mantiki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kustawisha uhusiano na mataifa yote ya dunia."
Habari ID: 3459299    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/01

Barua ya pili ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa vijana wa nchi za Magharibi imeakisiwa kwa wingi katika vyombo vya habari vya kigeni.
Habari ID: 3458797    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/30

Kiongozi Muadhamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema harakati iliyojaa mahaba na imani ya watu wa nchi mbali mbali za dunia katika siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS ni moja kati ya ishara za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3458796    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/30

Kiongozi Muadhamu kwa vijana Wamagharibi
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amewaandikia barua vijana wa nchi za Magharibi akisema kuwa, matukio machungu ya kigaidi yaliyotokea nchini Ufaransa yameandaa uwanja wa kutafakari kwa pamoja kuhusu njia ya utatuzi wa migogoro ya sasa.
Habari ID: 3458401    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itatetea kwa uwezo wake wote harakati ya wananchi wa Palestina.
Habari ID: 3457216    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/26

Ayatullah Udhma Sayid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumatatu alionana na Rais Vladimir Putin wa Russia mjini Tehran na huku akikaribisha juhudi za kustawisha zaidi ushirikiano wa pande mbili, wa kieneo na kimataifa
Habari ID: 3456712    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/24

Rais Vladimir Putin wa Russia amemtunuku Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali hamenei, nakala ya zamani yenye thamani kubwa ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3456287    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/23

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei kabla ya adhuhuri ya leo amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria aliyeko safarini hapa nchini.
Habari ID: 3456282    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/23

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, jinai za kuogofya za makundi ya magaidi kama vile kukata vichwa na kuwachoma moto watu ni dalili ya kuwa mbali kabisa na Uislamu magaidi hao.
Habari ID: 3455805    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/22

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyed Ali Khamenei ametangaza sera jumla kuhusiana na kulinda mazingira nchini Iran.
Habari ID: 3454537    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/19

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesisitiza juu ya ulazima wa vyuo vikuu kutoa mchango katika kujenga ustaarabu mpya wa Kiislamu.
Habari ID: 3447344    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/11

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei, amesema wananchi wa Iran hawatoinyooshea mkono wa urafiki Marekani ambayo inatumia kila mbinu na hila kwa lengo la kuifuta Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3443189    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/03

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesema kuwa malengo ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati yanatofautiana kwa daraja 180 na ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3432363    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/02

Kiongozi Muadhamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesisitiza kuhusu kulindwa maslahi ya taifa la Iran katika utekelezwaji mapatano ya nyuklia kati ya Iran na madola sita makubwa duniani.
Habari ID: 3391463    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/21

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekosoa kimya cha serikali za Magharibi na taasisi zinazodai kutetea haki za binadamu kuhusu maafa ya machungu ya Mina.
Habari ID: 3390451    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/19

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Ali Khamenei amesema kuwa mustakbali wa Iran unang'ara na unaambatana na maendeleo, uwezo na ushawishi wa kila siku katika kanda hii na dunia nzima.
Habari ID: 3385744    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/15

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) ni ngome hai na ya mstari wa mbele ya kukabiliana na vita laini.
Habari ID: 3384712    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/12

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa Marekani inasaka fursa ya kupenya na kulazimisha matakwa yake kwa taifa la Iran.
Habari ID: 3383038    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/08

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa vikosi vya jeshi la Iran vinapaswa kuzidisha kasi ya maendeleo na kuzidisha utayarifu wake kwa kadiri kwamba, adui asithubutu hata kuwa na fikra ya kuihujumu Iran.
Habari ID: 3377230    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/02

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, hatua yoyote ile - hata ndogo kiasi gani - ya kuwavunjia heshima mahujaji wa Iran na kutotekelezwa majukumu yanayotakiwa kuhusiana na maafa ya mahujaji waliopoteza maisha katika maafa ya Mina, itakabiliwa na jibu kali kutoka Iran.
Habari ID: 3375966    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/30