IQNA

Roboti inayoendeshwa na Akili Mnemba kuwasaidia Mahujaji Saudia

Roboti inayoendeshwa na Akili Mnemba kuwasaidia Mahujaji Saudia

IQNA –Roboti mpya ya Manarat Al-Haramain inayotumia Akili Mnemba (AI) imezinduliwa ili kuwasaidia Mahujaji huko Makka, Saudi Arabia.
19:07 , 2025 May 23
Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Dubai kujimuisha vitengo vitatu

Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Dubai kujimuisha vitengo vitatu

IQNA – Mashindano yajayo ya Qur’ani ya  Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai yatafanyika katika sehemu tatu kuu, na kwa mara ya kwanza yatafungua milango kwa washiriki wa kike.
18:56 , 2025 May 23
Ayatullah Sistani asisitiza ustawi wa shughuli za hisani

Ayatullah Sistani asisitiza ustawi wa shughuli za hisani

IQNA – Kiongozi mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Sistani, amesisitiza umuhimu wa kuendeleza shughuli za hisani kwa moyo wa kujitolea.
18:47 , 2025 May 23
Maandalizi ya maadhimisho ya kufa shahidi Imam Jawad (AS)

Maandalizi ya maadhimisho ya kufa shahidi Imam Jawad (AS)

IQNA – Maandalizi ya maadhimisho a kumbukumbu ya kufa shahidi Imam Jawad (AS) katika mji mtakatifu wa Kadhimiya yalipitiwa upya katika mkutano wa hivi karibuni.
18:26 , 2025 May 23
Mashindano ya Kwanza ya Kuhitimisha  Qur’ani yafanyika Damascus

Mashindano ya Kwanza ya Kuhitimisha Qur’ani yafanyika Damascus

IQNA – Wizara ya Wakfu ya Syria imeandaa mashindano ya kwanza nchini humo ya kukamilisha usomaji wa Qur’ani nzima kwa siku moja, yakivutia mamia ya wahifadhi wa kiume na wa kike katika misikiti mitatu mikubwa kwenye mji mkuu.
18:09 , 2025 May 23
Tafsiri mpya ya Qur'ani kwa lugha ya Kiswahili, Tafsir Nur, yazinduliwa Dar

Tafsiri mpya ya Qur'ani kwa lugha ya Kiswahili, Tafsir Nur, yazinduliwa Dar

IQNA- Katika hafla ya kipekee iliyofanyika pembezoni mwa Kongamano la 30 la Qur'an Tukufu, lililofanyika katika Ukumbi wa Mikutano ya Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam, Tanzania, Tafsiri mpya ya Qur’an Tukufu kwa lugha ya Kiswahili imezinduliwa rasmi.
12:21 , 2025 May 22
Kongamano la Kimataifa la Qur'ani Tukufu lafanyika Tanzania

Kongamano la Kimataifa la Qur'ani Tukufu lafanyika Tanzania

IQNA- Kongamano la 30 la Qur’an Tukufu na Hadithi limefanyika kwa mafanikio makubwa Jijini Dar-es-Salaam - Tanzania, likiwakutanisha wasomaji mahiri wa Qur’an kutoka nchini Iran na ndani ya Tanzania..
10:03 , 2025 May 22
17