IQNA

Mkutano wa Mwaka wa Jumuiya ya Kiislamu ya Amerika Kaskazini Utaanza Ijumaa

Mkutano wa Mwaka wa Jumuiya ya Kiislamu ya Amerika Kaskazini Utaanza Ijumaa

IQNA – Mkutano wa 62 wa Mwaka wa Jumuiya ya Kiislamu ya Amerika Kaskazini (ISNA) utaanza huko Rosemont, jimbo la Illinois, Marekani, Ijumaa hii.
18:01 , 2025 Aug 27
Mwanazuoni: Wiki ya Umoja wa Kiislamu iwe Harakati Dhidi ya Wapinzani wa Uislamu

Mwanazuoni: Wiki ya Umoja wa Kiislamu iwe Harakati Dhidi ya Wapinzani wa Uislamu

IQNA – Msomi wa ngazi za juu wa Kiislamu Iran ametoa wito wa kufanya Wiki ya Umoja wa Kiislamu mwaka huu kuwa harakati kamili dhidi ya wapinzani wa Uislamu.
17:57 , 2025 Aug 27
Hasira zaenea baada ya mfuasi wa Trump anayeunga mkono Israel kutekelteza nakala ya Qur'ani

Hasira zaenea baada ya mfuasi wa Trump anayeunga mkono Israel kutekelteza nakala ya Qur'ani

IQNA – Kitendo cha kuivunjia heshima na kuteketeza moto nakala ya Qur’an ambacho kimetekelezwa mgombea wa kiti katika Bunge la Kongresila Marekani kwa tiketi ya chama cha kihafidhina cha Republican huko Texas, ambaye ni mfuasi wa Rais wa Marekani Donald Trump, kimeibua hasira kubwa.
17:45 , 2025 Aug 27
19