iqna

IQNA

gomaa
Misri
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya ya Misri imesema mpango wa kutoa mafunzo kwa wahifadhi Qur'ani watoto milioni moja utazinduliwa nchini humo.
Habari ID: 3476913    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/25

Watoto na Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Usajili wa masomo ya Qur'ani Tukufu katika majira ya joto katika misikiti ya Misri umepokelewa vyema na watoto wa shule.
Habari ID: 3475292    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/25

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu ya Misri imesema misikiti na maeneo yote ya ibada nchini humo yanaweza kuanza tena shughuli za kawaida kama ilivyokuwa kama ya janga la corona.
Habari ID: 3475218    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/07

TEHRAN (IQNA)- Kamati ya Kidini katika Bunge la Misri limeanza kujadili pendekezo la kuandika tafsiri mpya ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3474707    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/22

TEHRAN (IQNA)- Rais Abdul Fattah el-Sisi wa Misri ametaka kipaumbele maalumu kipewe kwa tafsiri na ufahamu wa Qur’ani katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani nchini humo.
Habari ID: 3474676    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/15

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Awqaf nchini Misri Sheikh Mukhtar Gomaa amekutana na Katibu Mkuu wa Akademia ya Kimataifa ya Fiqhi Sheikh Koutoub Mustafa Sano kujadili njia ya kukabiliana na misimamo mikali ya kidini.
Habari ID: 3474077    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/07

Wizara ya Awqaf na Masuala ya Kidini nchini Misri imeandaa semina yenye anuani ya ‘Hatari ya Fikra za Kitakfri’.
Habari ID: 1375500    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/16