iqna

IQNA

mladic
Jinai dhidi ya Waislamu
Waziri wa Ulinzi wa Uholanzi Kajsa Ollongren amewaomba msamaha kwa Waislamu wa Bosnia na ameshiriki katika ibada ya kumbukumbu ya 27 ya waathirika wa mauaji ya kimbari ya Srebrenica.
Habari ID: 3475492    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/12