iqna

IQNA

musa
Mbinu ya Elimu ya Manabii; Musa /19
TEHRAN (IQNA) – Kuonyesha miujiza ni miongoni mwa uwezo maalum wa manabii wa Mwenyezi Mungu ambao una muelekezo wa kuelimisha au mafunzo.
Habari ID: 3477425    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/12

Mbinu ya Elimu ya Manabii; Musa/16
TEHRAN (IQNA) – Katika historia, tangu Mtume wa kwanza wa Mwenyezi Mungu alipokanyaga ardhini, hakuna mtu ambaye ameweza kuwaelimisha watu katika ngazi ya mtu binafsi na ya kijamii bora kuliko Mitume na Maimamu watoharifu wa nyumba ya Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3477337    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/25

Mbinu ya Elimu ya Manabii; Musa / 14
TEHRAN (IQNA) – Mbinu za kielimu alizotumia Nabii Musa (AS), hususan juhudi zake za kujenga matumaini kwa watu, ni mwanga wa nuru na mwongozo kwa wote.
Habari ID: 3477302    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/18

Shakhsia katika Qur’ani Tukufu /26
TEHRAN (IQNA) – Utafiti wa hadithi za Mitume wa Mwenyezi Mungu unaonyesha kwamba kila mmoja wao alikuwa na sifa maalum. Harun (AS), kwa mfano, alikuwa mzungumzaji na alikuwa na uwezo wa kushawishi.
Habari ID: 3476394    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/12

Shakhsia katika Qur'ani Tukufu /25
TEHRAN (IQNA) – Bani Isra’il walikuwa kaumu kubwa katika historia. Walikuwa wamepewa dhamana ya kufika ardhi waliyoadhiwa na Mwenyezi Mungu ambaye alimpa Nabii Musa (AS) jukumu la kuwaokoa. Bani Isra’il waliokolewa lakini walibadili hatima yao kwa kutomtii Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3476367    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/07

Shakhsia katika Qur'ani Tukufu/24
TEHRAN (IQNA) – Musa-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake- (AS)-, nabii mkuu wa Bani Isra’il ambaye aliinukua katika nyumba ya Firauni, aliwaokoa watu kutokana na dhulma ya Firauni.
Habari ID: 3476333    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/31

Sura za Qur’ani Tukufu /20
TEHRAN (IQNA) – Moja ya hadithi zilizotajwa katika Sura tofauti za Qur’ani Tukufu ni ile ya Nabii Musa (AS).
Habari ID: 3475951    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/18

Sura za Qur’ani Tukufu /28
TEHRAN (IQNA) – Kumekuwa na makundi mbalimbali ya watu katika historia yote ambayo yameegemea juu ya uwezo na mali zao kusimama dhidi ya utawala wa Mwenyezi Mungu lakini wote wameshindwa kwani si wingi wa mali wala uwezo wa watu wenye nguvu unaoweza kukabiliana na nguvu za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3475701    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/29