iqna

IQNA

IHH
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Taasisi ya kutoa misaada ya Uturuki ilitoa zaidi ya nakala 11,000 za Misahafu (Qur'ani Tukufu) kwa Waislamu katika nchi tofauti za Kiafrika mwaka jana.
Habari ID: 3476451    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/23