iqna

IQNA

saumu
Saumu ya Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Mwezi mtukufu wa Ramadhani unapokaribia, shirika la misaada la Diabetes UK linatoa msaada na ushauri kwa Waislamu walio na kisukari.
Habari ID: 3476642    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/01

TEHRAN (IQNA)- Katika Saumu ya Ramadhani, waumini hawali au kunywa lakini ni wazi kwamba kufunga sio tu kuweka kujizuia kunywa na kula.
Habari ID: 3475115    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/11

TEHRAN (IQNA)- Niyyah au nia ni msingi muhimu wa ibada katika Uislamu na nukta hii inapata umuhimu mkubwa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475102    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/09

TEHRAN (IQNA)- Paul Pogba, mchezaji mahiri wa timu ya Manchester United katika Ligi Kuu ya Premier nchini Uingereza anasema atakuwa amefunga saumu ya Ramadhani wakati wa mechi baina ya timu yake na Leeds United Jumapili 25 Aprili mchana.
Habari ID: 3473846    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/24

TEHRAN (IQNA)- Saumu ya mwezi mtukufu wa Ramadhani humsaidia mja kuwa na nidhamu katika maisha.
Habari ID: 3473826    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/18

TEHRAN (IQNA) – Baraza la Fatwa katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) limetoa Fatwa kuhusu Saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani wakati wa janga la corona au COVID-19.
Habari ID: 3472684    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/20

TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu katika madhehebu ya Shia nchini Iraq ametoa Fatwa kuhusu kufunga saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani wakati huu wa janga la ugonjwa wa corona au COVID-19.
Habari ID: 3472669    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/15

TEHRAN (IQNA) – Darul Iftaa ya Misri imetoa taarifa na kusisistiza kuwa: “Baada ya kushauriana na kamati ya madaktari tumefikia natija kuwa, saumu haichangii katika kuambukizwa corona (COVID-19).”
Habari ID: 3472668    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/15

TEHRAN (IQNA)- Waislamu katika maeneo yote duniani wanaendelea na saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambapo baadhi ya maeneo muda wa saumu ni masaa 11 na baadhi ya maeneo karibu karibu masaa.
Habari ID: 3471533    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/27

TEHRAN (IQNA)- Pamoja na kuwa atashiriki katika mechi muhimu zaidi ya soka katika maisha yake, yamkini nyota wa Liverpool Mohammad Salah akafunga saumu ya Ramadhani katika siku ya mechi na Real Madrid ya Fainali ya Mabingwa wa Ulaya.
Habari ID: 3471526    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/22

TEHRAN (IQNA)-Waislamu katika mji mkuu wa Iceland, Reykjavik wanafunga masaa 22 kwa siku katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani kutokana na usiku kuwa mfupi katika ncha ya kaskazini duniani.
Habari ID: 3471017    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/12

Siku chache zimesalia kabla ya kuanza Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na Waislamu wanajitayarisha kuukaribisha mwezi huo na kutekeleza ibada ya Saumu au kufunga.
Habari ID: 3470346    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/30